EXPANSE KASINO PROMOSHENI YA UTAJIRI WA KASINO

PROMOSHENI ya Expanse Kasino inaendelea huku nafasi ya kushinda leo, inakusubiri wewe, ni rahisi sana kushinda ambapo unatakiwa kucheza michezo ya Expanse iliyopo Kasino ya Mtandaoni. Jisajili hapa na chagua mchezo wako wa ushindi. Michezo ya Kasino inakupa utajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi kushinda…

Read More

Mastaa kibao Tabora United kuchapa lapa

LICHA ya Tabora United kubaki Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao, lakini inaelezwa mastaa wengi wa kikosi hicho huenda wakaondoka na kutafuta changamoto sehemu nyingine, huku sababu kubwa ikielezwa kuwa ni ukata unaoikumba timu hiyo. Habari za kuaminika kutoka ndani ya timu hiyo zimeiambia Mwanaspoti kwamba baadhi ya nyota ambao wataondoka ni kipa raia wa…

Read More

Taifa linahitaji mtazamo mpya wa elimu ya ufundi

Dar es Salaam.Kwa muda mrefu, elimu ya ufundi nchini Tanzania imeonekana kama njia ya pili ya kupata maarifa na ujuzi. Watu waliopitia mfumo huu walionekana ni wale ambao hawakuwa wamefanya vizuri kiasi cha kutosha na kuwa na sifa ya kusoma elimu ya sekondari ambalo ni daraja la kati nchini kuelekea elimu ya juu. Hali hii…

Read More

MRADI WA SLR WATENGA BILIONI 1.091 KUTEKELEZA SHUGHULI ZA MIRADI YA KIJAMII NA KIUCHUMI KWA WANANCHI

Maafisa Waandamizi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais wanaosimamia Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bioanuai (SLR) Bw. Julius Enock na Bi. Risper Koyi wakifuatilia uwasilishaji wa taarifa mbalimbali kuhusu Mradi huo leo Jumanne (Juni 25, 2024) wakati wa kikao kazi hicho cha Siku tatu kinachoendelea Jijini Mbeya. Baadhi ya washiriki wa…

Read More

Wanawake msisahau majukumu yenu ya kutunza familia.

Mkuu wa mkoa wa Tanga Dkt Batlida Buriani amewataka wanawake mkoani hapa licha ya kushirikisha kwenye shughuli za kujitafutia kipato wahakikishe hasahau jukumu la malezi kwa watoto wao. Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo Kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia Kwa watoto katika wilaya mbalimbali za mkoani huu jambo ambalo lina haribu ustawi wao wa…

Read More

Wafanyabiashara Mwanza waanika sababu za kufunga maduka yao

Mwanza. Wakati wafanyabiashara jijini Mwanza wakitangaza mgomo na kufunga maduka yao, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Mkoa wa Mwanza, Patrick Masagati ametaja sababu za mgomo huo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumanne Juni 25, 2024, Masagati ametaja sababu hizo kuwa ni kupinga sheria za kodi (bila kuzitaja) zinazochangia unyonyaji na kuwarudisha nyuma wafanyabiashara. “Kitu ambacho…

Read More