DKT. Biteko akutana na wawekezaji wa Modern industrial park

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya mazungumzo na wawekezaji wa Modern Industrial Park wanaomiliki kongani ya viwanda eneo la Kibaha, Mkoani Pwani. Mazungumzo hayo yamefanyika Juni 24 katika ofisi za Naibu Waziri Mkuu Bungeni, jijini Dodoma. Aidha, Dkt. Biteko amewaeleza wawekezaji hao kuwa Serikali iko tayari kushirikiana…

Read More

Maandamano yapamba moto Kenya, wanaharakati 10 watekwa

MAELFU ya vijana wamefurika katikati mwa barabara za miji nchini Kenya kushiriki maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha 2024 ilihali wabunge wakiendelea kuujadili bungeni. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Milipuko inadaiwa kusikika katikati ya jiji la Nairobi wakati polisi wakifyatua mabomu ya machozi dhidi ya vijana wanaopinga kelele wakielezea kutoridhishwa kwao na muswada huo….

Read More

Mwabukusi, wengine watano wapitishwa kugombea urais TLS

Dar es Salaam. Mwanasheria Boniface Mwabukusi (Mbeya) ni miongoni mwa mawakili sita waliopitishwa kugombea urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Agosti 2, mwaka huu jijini Dodoma. Mbali na Mwabukusi, taarifa iliyotolewa na kamati ya uchaguzi ya TLS jana Juni 24, 2024 imewataja wagombea wengine kuwa ni Ibrahim Bendera (Ilala),…

Read More

Chama, Dube na mifumo minne Yanga

Dar es Salaam. Vuta picha hapa kuna Clatous Chama kule Prince Dube katika kikosi cha Yanga chenye nyota wengine kama vile, Stephane Aziz KI, Pacome Zouzoua, Maxi Nzengeli na Mudathir Yahya ambao waliwafanya Wananchi kutembea kifua mbele msimu uliopita na kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho (FA). Chama ambaye mkataba wake…

Read More

Siku ya pili mgomo Kariakoo, wafanyabiashara wamtaka Rais Samia

Dar es Salaam. Wafanyabiashara eneo la Kariakoo wameendelea na msimamo wa kutofungua maduka, wakimtaka Rais Samia Suluhu Hassan kwenda kusikiliza malalamiko yao. Wameeleza wamechoshwa na matamko ya viongozi walio chini yake, wakidai hakuna utekelezaji wa yaliyofikiwa na kikosi kazi kilichoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mwaka 2023 walipogoma. Mgomo umeingia siku ya pili leo Juni…

Read More

Kinachoendelea mgomo wa wafanyabiashara Dar, Mwanza, Mbeya

Dar/mikoani. Siku moja tangu mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo uanze, mikoa ya Mwanza na Mbeya imeanza mgomo huo kwa madai ya utitiri wa kodi na tozo huku wakishinikiza mazingira mazuri ya biashara. Licha ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo kutangaza kusitishwa kwa ukaguzi wa risiti za kielektroniki (EFD), wafanyabiashara wameendelea kusimamia msimamo…

Read More

Toeni taarifa Wanaofanya ukatili kwa wenye Changamoto ya Ngozi, Tutaendelea Kuwalinda Mvungwe.

Mkaguzi Kata ya Mvungwe Wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga amebainisha kuwa wataendelea kuwalinda wenye changamoto za ulemavu wa Ngozi huku akiwaomba wananchi kutoa taarifa za baadhi ya watu ambao wanafanya ukatili huo. Hayo yamebainishwa na Mkaguzi wa kata hiyo Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/INSP Fabian Mhagale ambapo amewataka wananchi wa kata hiyo kushirikiana na…

Read More