Hivi ndivyo Simba, Chama walivyomalizana

TAARIFA zinabainisha kwamba, ile filamu ya Clatous Chama na Simba imefikia mwisho baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika na ishu ya kuongezewa muda wa kusalia Msimbazi ikishindikana, huku ishu mpya ikiwa namna pande hizo zilivyomalizana. Kiungo huyo raia wa Zambia, alikuwa kwenye majadiliano marefu na viongozi wa Simba akiwemo Mwenyekiti wa Bodi na rais…

Read More

Migodi mipya minne kuanzishwa nchini

Dar es Salaam. Wizara ya Madini imesema kuna uwezekano wa kuongeza migodi mipya minne hadi kufikia mwaka 2030, inayotarajiwa kuongeza mchango wa sekta hiyo katika uchumi nchini. Mpango huo ulielezwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Kheri Mahimbali kwa washiriki wa mkutano wa uwekezaji wa The London uliofanyika Uingereza wiki iliyopita. “Azimio letu pia…

Read More

Mnigeria afunguka dili la Simba

KIUNGO mkabaji wa Rivers United, Mnigeria Augustine Okejepha ameeleza dili lake la kujiunga na Simba, huku akisisitiza shauku yake kubwa ni kucheza soka la Tanzania licha ya kuwa na ofa kutoka klabu zingine nje ya nchi hiyo. Akizungumza na Mwanaspoti kutoka Nigeria, Okejepha amesema ni kweli wako katika mazungumzo na viongozi wa Simba, lakini bado…

Read More

TETESI ZA USAJILI BONGO: Simba yatua kwa Pedro Miguel

KLABU ya Simba imeanza kumfuatilia kiungo wa Petro Luanda ya Angola, Pedro Pessoa Miguel ili kuiongezea nguvu timu hiyo msimu ujao. Nyota huyo anayecheza kiungo mkabaji na ushambuliaji, inaelezwa Simba itakutana na ushindani kwani timu za Saudi Arabia na Ureno zinamuhitaji pia baada ya kudumu Petro kwa miaka mitano tangu 2019. KLABU ya Singida Black…

Read More

Ataka itungwe sheria kali kulinda wenye ualbino

Dar es Salaam. Mjumbe wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Sarah Katanga amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan atoe tamko la kutunga sheria ya dharura itakayowalinda watu wenye ulemavu, wakiwemo wenye ualbino, ili waondokane na mauaji dhidi yao. Katanga ametoa kauli hiyo leo Jumatatu Juni 24, 2024, siku chache baada ya…

Read More