DC Pangani ang’aka waliozima mashine za kukusanya ushuru

Pangani. Mkuu wa Wilaya ya Pangani, Mussa Kilakala ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) wilayani humo kufuatilia mashine za kukusanya ushuru maarufu kama ‘Pos’ ambazo zimezimwa wakati zinaonekana zimekusanya fedha za halmashauri, ili wahusika wachukuliwe hatua. Akizungumza wakati wa kutoa taarifa ya Serikali juu ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa miezi…

Read More

Kilio soko la kisasa Manispaa ya Mpanda chasikika

Mpanda. Kutokana na malalamiko ya wafanyabiashara wa zao la mahindi katika Manispaa ya Mpanda kuhusu mahitaji ya soko la kisasa, Serikali imeanza mchakato wa ujenzi wa soko kupitia mradi wa Tactic. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumatatu Juni 24, 2024, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi, Sophia Kumbuli amesema tayari andiko la…

Read More

Costasnia mwenye kofia nne kwenye michezo

Mwanza, ‘Dhahabu ili ing’ae lazima ipite kwenye moto’ ni msemo ambao ameutumia Costasnia Kisege ambaye ni Mwalimu, Mwamuzi wa Mchezo wa Netiboli Ngazi ya Taifa, Mratibu wa Michezo Wilaya ya Maswa na Katibu Chama cha Mpira wa Netiboli Simiyu, wakati akielezea safari yake ya kuingia kwenye michezo. Mama yake alipenda michezo baba yake hakupendaAnasema licha…

Read More

Mpina bungeni hadi Novemba | Mwananchi

Dodoma. Bunge limemsimamisha mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina kuhudhuria vikao 15 hadi Bunge la Novemba, 2024. Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema Mpina hatahuduria vikao vitano vya Bunge hili la Bajeti kuanzia leo, pia hatahudhuria Bunge lijalo la Septemba ambalo lina vikao tisa. Amesema vikao vitano vya Bunge la Bajeti na vikao tisa…

Read More

AIRTEL TANZANIA YAANZA KUTUMIA MKONGO WA BAHARINI WA AIRTEL 2AFRIKA KULETA MAGEUZI YA MTANDAO HUDUMA ZA INTANETI

  · Ni Mkongo wa Mawasiliano baharini wenye uwezo mara10 zaidi ya iliopo · Kumaliza changamoto ya kukosekana kwa huduma ya intaneti kutokana na sababu ya kukatika kwa mkongo wa baharini · Uchumi wa kidijitali unatarajiwa kukua kwa kiwango cha juu zaidi KAMPUNI ya Airtel Tanzania imeanza kutumia rasmi Mkongo wa mawasiliano unaopita baharini wa…

Read More

AMREF TANZANIA IKISHIRIKIANA NA WIZARA YA AFYA, BENKI YA ABSA NA WADAU KUPITIA PROGRAMU YAKE YA ‘UZAZI NI MAISHA WOGGING’ YAKABIDHI VIFAA TIBA KUIMARISHA UZAZI SALAMA ZANZIBAR

Makabidhiano ya Vifaa Tiba Kupitia Programme ya “Uzazi ni Maisha Wogging” Makabidhiano ya Vifaa Tiba Kupitia Programme ya “Uzazi ni Maisha Wogging”   Zanzibar, Tanzania – 24 June, 2023 – Shirika la Amref Health Africa -Tanzania, Kwa kushirikiana na Benki ya Absa na Wizara ya Afya ya Zanzibar na Wadau mbalimbali, leo limekabidhi vifaa tiba kupitia program…

Read More

Mradi wa LTIP kumaliza changamoto ya makazi holela Kondoa.

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia Mradi wa Uboreshaji Usalama wa Milki za Ardhi (LTIP) umedhamira kumaliza changamoto ya makazi holela kwa kuyafikia maeneo yote ambayo yameendelezwa bila kupangwa na hayajafikiwa na zoezi la urasimishaji katika Halmashauri ya Mji wa Kondoa. Mradi huo unalenga kutambua, kupanga, kupima na kuwamilikisha wananchi katika maeneo…

Read More

Ndugu wa mateka wa Gaza wazidisha mbinyo kwa Netanyahu – DW – 24.06.2024

Katika taarifa yake iliyotolewa kufuatia kauli ya waziri mkuu Netanyahu kuhusu makubaliano ya kumaliza vita hivyo, Jukwaa la familia za mateka na wasiojulikana walipo, limesema kukomesha mapigano Gaza bila kuwaachiwa mateka kutakuwa kushindwa kwa kihistoria kwa kitaifa na kuondoka kwenye malengo ya vita hivyo. Wamesema wajibu na jukumu la kuwarejesha mateka viko mikononi mwa waziri…

Read More