Kariakoo ngoma mbichi | Mwananchi

Dar es Salaam. Licha ya Serikali kutangaza kuwa itafanyia kazi malalamiko ya wafanyabiashara wa Kariakoo, ikiwemo kusitisha kamatakamata iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), baadhi ya wafanyabiashara wamesema Rais Samia Suluhu Hassan ndiye anapaswa kutoa tangazo hilo..  Wamesema kauli ya Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo haiwezi kuwafanya wafungue maduka,  huku…

Read More

RC PWANI AHIMIZA MAENDELEO ZAIDI MJI WA KIBAHA

  Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge akizungumza  kwenye kikao hicho Baadhi ya Madiwani  walishiriki kwenye kikao hicho. Mwenyekiti  wa Halmashauri ya Mji Kibaha Mussa Ndomba  akifafanua jambo. Na Khadija Kalili , Michuzi Tv MKUU wa Mkoa wa Pwani Alhaji Abubakari Kunenge ametoa wito kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha kutobweteka na hati…

Read More

MBUNGE MTATURU ASISITIZA MAMBO MANNE KWA SERIKALI

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amechangia Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2023 huku akiainisha maeneo manne ya msisitizo kwa serikali ili kuweza kuongeza mapato kupitia sekta ya biashara. Akichangia Juni 24,2024, Bungeni Jijini Dodoma Mtaturu ametaja eneo la…

Read More

Mpina afungiwa vikao 15 vya Bunge hadi Novemba

  BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeazimia kumfungia vikao 15 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina (CCM) kwa kudharau mamlaka ya Spika na mwenendo wa Shughuli za Bunge. Anaripoti Mwandishi Wetu (endelea.) Hatua hiyo imekuja baada ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kupitia kwa Mwenyekiti wake, Ally Juma Makoa kumkuta na…

Read More

CCM, Ikulu Zanzibar waikana kauli ya Dk Dimwa

Dar es Salaam. Hapana. Ndivyo unavyoweza kutafsiri karibu kila mchango wa mdau wa siasa aliyezungumza na Mwananchi kuhusu  kauli ya Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Mohamed Dimwa, aliyetaka Rais Hussein Mwinyi aongezewe muda wa kukaa madarakani kutoka miaka mitano hadi saba. Msingi wa kauli hiyo ya Dimwa ni kile alichoeleza…

Read More

Zigo la fedha lamng’oa Inonga Simba

BEKI wa Simba, Henock Inonga amebakiza hatua chache kujiunga na FAR Rabat ya Morocco baada ya timu hiyo kufuata saini yake. FAR Rabat imezungumza na Simba ikitaka huduma ya beki huyo Mkongomani ambapo zimejadilianakufanya biashara na dau la zaidi ya Sh500 milioni linatajwa kufikiwa. Inonga ambaye ana mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Simba uamuzi…

Read More

Dereva wa aliyekuwa RAS K’manjaro azikwa, viongozi wa dini wakemea mauaji ya albino

Moshi. Wakati dereva wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa kilimanjaro, Alphonce Edson (54) akizikwa katika makaburi ya familia, Mchungaji Thobias Msekwa ametumia nafasi hiyo kukemea vitendo vya kikatili katika jamii, ikiwemo mauaji ya watu wenye ualbino na kuitaka Serikali kutowafumbia macho wanaojihusisha na vitendo hivyo. Mchungaji huyo wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania…

Read More

PUMZI YA MOTO: Maandamano ya Kenya na somo zito Yanga

JIRANI zetu Kenya wamekumbwa na maandamano makubwa yanayoongozwa na makundi ya vijana wanaopinga muswada wa sheria ya fedha uliowasilishwa bungeni na serikali inayoongozwa na Rais William Ruto. Ukichambua kwa kina kinachoendelea nchini humo utaona pande zote mbili ziko sahihi kwa wanachofanya. Wanaoandamana wanapinga muswada huo kwa sababu utakwenda kuathiri maisha moja kwa moja kwa kupandisha…

Read More