Kilichoelezwa na Serikali baada ya kikao na viongozi wa Kariakoo

Dodoma. Serikali imesitisha kazi ya ukaguzi wa risiti za kielektroniki (EFD) na ritani za kodi iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kupitia mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Jijini Dar es Salaam, wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo. Uamuzi huo umekuja baada ya kikao kilichowashirikisha wafanyabiashara nchini wakiongozwa na Mwenyekiti wa…

Read More

OCEAN ROAD YAWEKA KAMBI ARUSHA KWA MAKONDA

Na Mwandishi wetu JOPO la Madaktari Bingwa na wabobezi wa magonjwa ya Saratani kutoka Taasisi ya Saratani ya (Ocean Road) wameweka kambi Mkoani Arusha lengo ni kushiriki Kambi ya uchunguzi na matibabu inauoratibiwa na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda. Akizungumza katika Kambi hiyo Meneja, Kitemgo cha Uchunguzi wa saratani na elimu…

Read More

HADITHI: Zindiko (sehemu ya 3)

DIWANI akatabasamu kidogo, kisha akafuta tabasamu lake alipoanza kuzungumza. Bwana Zimataa. Unaikumbuka ahadi yangu wakati wa kampeni za uchaguzi wa hapa kwetu? Alikumbuka kila alichokuwa akikizungumza wakati wa kampeni kinachoendana na ndoto zake kuhusu eneo hilo. Alipokuwa akinadi sera zake, alikuwa haadhi kuzungumzia jengo la Zindiko. Na alikuwa akiongea mambo ambayo hayajui. Lakini aliongea kwa…

Read More

Mjadala wa sukari watikisa tena bungeni

Dodoma. Mjadala wa sukari umeendelea kulitikisa Bunge huku Mbunge wa Tarime Vijijini (CCM), Mwita Waitara akisema kama wapo mawaziri au wabunge wanaodaiwa kupewa rushwa katika suala hilo watajwe bungeni ili washughulikiwe. Akichangia mjadala wa bajeti ya Serikali leo Jumatatu Juni 24 2024, Waitara amesema suala hilo limekuwa likiwachanganya. “Na kama kuna waziri ama mbunge amekula…

Read More

Wadau waitwa kuwekeza sekta ya mifugo Tanzania

Dar es Salaam. Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewaita wadau kuwekeza katika sekta za malisho, chanjo, maji ya mifugo na majosho, ili kuleta matokeo chanya katika sekta hiyo. Ulega ametoa wito huo leo Jumatatu Juni 24, 2024 katika uzinduzi wa taarifa ya 21 ya uchumi wa Tanzania iliyotolewa na Benki ya Dunia (WB),…

Read More

KONGAMANO LA 12 LA SAYANSI MUHAS KUFANYIKA JUNI 27 NA 28.

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv CHUO cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kinatarajia kufanya kongamano lake la 12 la Kisayansi litakalojadili tafiti mbalimbali hususan zile zenye majibu ya magonjwa yasiyoambukiza. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Appolinary Kamuhabwa amesemwa hayo leo Juni 24, 2024 wakati akizungumza na waandishiwa habari juu ya kongamano hilo la…

Read More

Serikali yasitisha ukaguzi mashine EFD, kero 41 zaibuliwa

Serikali imesitisha zoezi la ukaguzi wa risiti za kielekroniki (EFD) na ritani za kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), iliyokuwa ikifanywa na Mamlaka ya Mapato Tanzania kupitia Mkoa wa kikodi wa Kariakoo, Dar es salaam wakati ukiandaliwa utaratibu mzuri wa utekelezaji wa suala hilo katika Soko Kuu la Kimataifa la Kariakoo. Anaripoti Mwandishi Wetu ……

Read More

594,494 waondolewa daftari la wapigakura kwa kukosa sifa

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesema wapiga kura 594,494 wataondolewa katika daftari la kudumu la wapigakura kwa kupoteza sifa. Wapigakura hao wamepoteza sifa kutokana na kufariki dunia, hayo yakiwa ni makadirio ya tume kupitia Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2022. Idadi hiyo itaondolewa wakati tayari tume imetangaza kusogezwa…

Read More

Ngoma bado ngumu mgomo Kariakoo

Dar es Salaam. Unaweza kusema ngoma bado ngumu katika soko la Kariakoo, baada ya hotuba ya takribani dakika 17 iliyotolewa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kuwashawishi wafanyabiashara kuendelea na shughuli zao kushindwa kufua dafu. Hiyo ni baada ya saa mbili tangu kuondoka sokoni hapo saa 6 mchana, lakini mpaka sasa 8…

Read More