Gharama tiba za saratani, umaskini vinavyochangia vifo-2

Dar es Salaam. Wakati Sera ya Afya ya mwaka 2007 ikielekeza matibabu ya saratani ni bure, wagonjwa wanaofika Taasisi ya Saratani Ocean Road (Orci), hukumbana na bili kubwa za tiba. Si hayo pekee, pia wagonjwa na wasaidizi wao wanaokosa mahali pa kukaa wakiendelea na matibabu hali inayowaongezea gharama za maisha kwa kuwa wapo wanaoandikiwa tiba-mionzi…

Read More

Mayele Misri kama Yanga tu

STRAIKA wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele ambaye kwa sasa anaichezea Pyramids yupo katika nafasi nzuri ya kuwania kiatu cha dhahabu baada ya kushika namba mbili kwenye msimamo wa wafungaji bora katika Ligi Kuu Masri. Hii ni baada ya jana Jumapili kufunga mabao mawili dhidi ya Arab Contractors, timu yake ikishinda 3-1, ambapo Mayele amefikisha…

Read More

TAASISI ZA UWEKEZAJI ZATAKIWA KUJITANGAZA

Afisa Uhusiano na Elimu kwa Umma Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Bi. Stella John, akiwaonesha baadhi ya Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, kalenda ya Mpango wa Uwekezaji ya Mwaka baada ya kumalizika kwa semina ya elimu ya fedha kwa watumishi hao iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano mkoani hapo….

Read More

Wanafunzi elimu ya juu watakiwa kutafuta fursa wakiwa vyuoni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Mratibu kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Wakili Onesmo Olengurumwa amewaasa wanafunzi wa vyuo kutafuta fursa wakiwa bado chuoni ili kuwarahishia njia pale wanapohitimu masomo yao. Ametoa kauli hiyo Juni 22,2024 katika mkutano mkuu wa Asasi ya Haki za Binadamu Chuo Kikuu cha Dar es…

Read More

Kibarua kupigania marekebisho sheria ya NGos chawasubiri viongozi wapya

Dodoma. Wakati uongozi mpya wa Baraza la Mashirika yasiyo ya Kiserikali (NaCoNGO), ukitarajiwa kupatikana kesho, kazi kubwa inayowasubiri ni kupigania marekebisho ya sheria, sera, kanuni ili kuondoa mianya iliyokuwa ikiwafanya wasitimize wajibu wao vizuri. Akizungumza leo Jumatatu Juni 24, 2024, Msajili wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali, Tanzania Bara, Beatrice Mayao amesema yapo mengi yaliyofanywa na…

Read More

Zaidi ya nusu ya wanawake Kinondoni wanajichubua

Dar es Salaam. Imebainika kuwa zaidi ya nusu wa wanawake  waliopo Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam wanatumia vipodozi vya kujichubua. Hali hiyo imebainika kupitia tafiti iliyofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) ambayo imeonyesha asilimia 54.5 ya wanawake hao wanatumia vipodozi hivyo, ili wawe weupe. Utafiti huo umebaini wengi wao…

Read More