Muhas yaonya matumizi holela ya dawa kwa wajawazito

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imeshauriwa kuweka msisitizo kuzuia matumizi ya dawa kiholela kwa wajawazito ili kuepusha madhara kwani zikitumika kwa muda mrefu husababisha ufubavu. Hatua hiyo inafuatia baada ya utafiti uliofanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa kubaini wajawazito wengi wanatumia dawa kwa kiasi kikubwa. Dk. Edward Mhina ambaye ni mwanafunzi…

Read More

Russia yadai kuharibu ndege 36 za Ukraine

Moscow. Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema vikosi vyake vimeharibu ndege zisizo na rubani 36 za Ukraine katika maeneo ya karibu na mpaka wa nchi hiyo. Wizara hiyo imesema leo Jumapili, Juni 30, 2023 kwamba: “Mifumo ya ulinzi wa anga iliyokuwa zamu iliharibu UAV 15 katika eneo la Kursk, UAV tisa eneo la Lipetsk, UAV…

Read More

Ndoa, talaka janga linalotikisa nchini

Dar es Salaam. Viongozi wa dini, wananchi na mtaalamu wa saikolojia wamekuwa na maoni tofauti kufuatia kushuka kwa idadi ya ndoa zilizosajiliwa, huku talaka zikiongezeka. Baadhi wanasema ndoa zinazofungwa ni nyingi lakini hazisajiliwi rasmi, wakati wengine wanadai watu wamekuwa na hofu ya kuoa kutokana na wimbi la talaka na kuona ndoa ni ngumu. Baadhi wanasema…

Read More

Njia ya kukuza tabia ya uwajibikaji kwa watoto

Katika makala yaliyopita tuliona umuhimu wa tabia ya uwajibikaji kwa mtoto. Bila uwajibikaji, tulisema, mtoto hataweza kufanya majukumu yake ipasavyo kwa sababu wakati wote atakuwa anangoja wengine wafanye kwa niaba yake. Ili kujenga uwajibikaji, tulipendekeza mipaka iwe sehemu ya maisha ya mtoto. Mamlaka inamsaidia mtoto kuelewa kipi lazima yeye akifanye na kipi hawezi kukifanya kwa…

Read More

Sativa afikishwa Dar, alazwa Aga Khan

Dar es Salaam. Hatimaye Edgar Mwakabela, maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23, 2024 na kupatikana mkoani Katavi, amewasili jijini Dar es Salaam na amelazwa katika Hospitali ya Aga Khan kwa matibabu zaidi. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Jumapili Juni 30,2024 mmoja wa watu wa karibu  waliompokea mgonjwa huyo, Boniface Jacob amesema wanamshukuru Mungu Sativa amefika…

Read More