Itutu amdondosha Doyo uenyekiti ADC

Dar es Salaam. Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), kimepata viongozi wapya wa kitaifa, huku aliyekuwa Makamu Mwenyekiti, Shabani Itutu akiibuka na ushindi  kwa nafasi ya Mwenyekiti Taifa. Itutu amemshinda Doyo Hassan aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho. Uchaguzi huo wa nne wa ADC umefanyika leo Jumamosi Juni 29, 2024 katika ukumbi wa Lamada…

Read More

IDARA YA FORODHA TRA WATETA NA WASAMBAZAJI VING’AMUZI

  Kaimu Naibu Kamishna wa Forodha wa TRA, Juma Hassan akizungumza wakati wa kuzindua mkutano na mawakala wa forodha pamoja na mawakala wa Ving’amuzi leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Washiriki wakiwa kwenye mkutano ulioandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) idara ya forodha. MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) Idara ya Forodha leo Juni 29, 2024…

Read More

Pamba Jiji yaanza kujipanga, yatangaza bodi yake

Zikiwa zimepita siku 10 tangu Klabu ya Pamba Jiji itangaze kumalizika kwa mikataba ya benchi la ufundi na wachezaji walioipandisha Ligi Kuu, klabu hiyo imetangaza bodi mpya itakayoiongoza kwa kipindi cha miaka mitano. Taarifa hiyo imetolewa leo Jumamosi Juni 29, 2024, na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Kiomoni Kibamba ambaye ni Katibu wa…

Read More

Sativa kuletwa Dar kwa matibabu

Dar es Salaam. Wakati wowote kuanzia sasa Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutoweka Juni 23 na kupatikana porini mkoani Katavi, atawasili Dar es Salaam kwa ajili ya matibabu. Mwakabela alitarajiwa kuwasili Dar es Salaam saa tisa alasiri kwa ndege maalumu ya kukodi, lakini kutokana dharura iliyojitokeza, amesafirishwa kwa gari la wagonjwa akitokea mkoani Dodoma kuletwa…

Read More