Dabo hataki kurudia makosa msimu ujao

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka hataki kurudia makosa ya msimu uliopita katika michuano ya kimataifa na kusema ndio sababu iliyomfanya awaite mapema kambini mastaa wa timu hiyo ili kutengeneza muunganiko baada ya sajili mpya na kuiweka timu freshi kabla ya kuliamsha 2024-2025. Msimu uliopita Azam licha ya kumaliza nafasi ya pili katika…

Read More

Watoto watatu wa familia moja waliofariki kwa ajali wazikwa

Iringa. Miili ya watu wanne wakiwemo watoto watatu waliofariki kwenye ajali ya bodaboda, imezikwa katika makaburi ya Karielo mjini Iringa huku waombolezaji wakigubikwa na huzuni wakati wa maziko hayo. Kwa mujibu wa maelezo wa ndugu wa marehemu, Ramadhani Said amesema watoto wawili na dereva bodaboda ni familia moja na mtoto mwingine ni wa jirani. Msiba…

Read More

Manula kuondoka Simba, Azam FC yatajwa

ALIYEKUWA kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula hatakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo msimu ujao baada ya kurudi timu ya zamani ya Azam FC. Kusajiliwa kwa Manula ni wazi kuwa ofa ya kipa namba mbili wa Yanga Abuutwalib Mshery aliyekuwa anatajwa kujiunga na timu hiyo limekufa. Manula aliyeichezea Simba kwa mafanikio, amedumu kwa…

Read More

Wapata dawa ya utoro, mimba kwa wanafunzi wa kike

Mufindi. Ili kupunguza utoro na mimba kwa wanafunzi wa kike katika shule ya sekondari Ilongo iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Mufindi, Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), kupitia shamba la miti la Sao Hill wametoa vifaa vya ujenzi wa bweni la wasichana vyenye thamani ya zaidi ya Sh30 milioni kwa ajili ya ujenzi wa bweni…

Read More

Machungu ya vivuko boti zikitumika, nane zakamatwa

Dar es Salaam. Makali ya upungufu wa vivuko kati ya Magogoni na Kivukoni yanaendelea kuwatesa wananchi ambao licha ya kuonywa na mamlaka, wameendelea kuvushwa na boti zinazohatarisha usalama wao.  Taarifa ya Kikosi cha Polisi Wanamaji iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana, inathibitisha adha wanayopitia wananchi hao kutokana na kutofanya kazi kwa vivuko vya Mv Magogoni…

Read More

Sekta ya elimu hatarini | Mwananchi

Dar es Salaam. Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imekiri kuwashikilia watu 17 wanaotuhumiwa kuwafanyia mitihani wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), ikielezwa waliahidiwa malipo ya kati ya Sh30,000 na Sh50,000 kwa kila mtihani. Mbali na watuhumiwa hao, limethibitisha kuwashikilia wanafunzi saba wanaodaiwa kuwa ndiyo waliokuwa wakifanyiwa mitihani hiyo, huku wengine 10…

Read More