Arusha. Jumla ya watu 32,186 wamehudumiwa katika kambi ya madaktari bingwa na wabobezi iliyokamilika leo Jumatatu Julai mosi, 2024 katika Viwanja vya Sheikh Amri Abeid,
Day: July 1, 2024

Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 2,2024 Kimataifa • Magazeti About the author

Musoma. Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iko katika mchakato wa kuandaa kamusi ya lugha ya alama ya vifaa vya ufundi kwa ajili ya masomo

Dar es Salaam. Vilio vya watu kutoweka na kutekwa vimeendelea kuibua hofu na wasiwasi nchini, huku wadau wakiinyooshea kidole Serikali kwa kushindwa kuvikomesha. Kwa mujibu

Kuhama kutoka kwa mji wa Gaza katika wilaya ya mashariki ya Shujaiya kunafuatia siku za mashambulizi makali yaliyoripotiwa na wanajeshi wa Israel, ambao vifaru vyao

Tanga. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe amewataka wakazi wa mkoa wa Tanga wasidharau uwepo wa mambo ya siasa na

Dar es Salaam. Uamuzi wa mbunge wa zamani wa Iringa Mjini (Chadema), Peter Msigwa kujiunga na CCM, umeonyesha sura mbili za mwanasiasa huyo, aliyekuwa mwiba

Katavi. Siku moja baada ya aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini kwa tiketi ya Chadema na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa

Songwe. Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Ileje, Mkoani Songwe, kimesema kitawafikisha kwenye vikao vya maadili ya chama hicho makada wanaojipitisha kwa lengo la kutaka

Dar es Salaam. Raia wa Oman, Hatem Mohamed (37) na mwenzake Ally Ally (26), wamehukumiwa kwenda jela miezi 12, baada ya kushindwa kulipa faini ya