Mahrang Baloch wakati wa kuonekana kwa umma. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30 ameibuka kuwa mtu mashuhuri katika vuguvugu la Baloch. Credit: Mehrab Khalid/IPS
Day: July 4, 2024

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) inajivunia kuwa moja ya washiriki wa maonyesho yanayoendelea ya SABASABA, ambayo yamezinduliwa na Mheshimiwa Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan kwani

“Maelfu wanajificha ndani UNRWA shule…na majengo ya serikali,” shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Kipalestina liliambia UN News, na kuongeza kuwa wengine “Tayari

TUME ya Ushindani nchini (FCC) imesema itahakikisha Mwananchi nchini haumizwi na bidhaa zisizo na ubora ikiwemo kusimamia sheria ya ushindani nchini inayodhibiti

Dar es Salaam. Wakati kampeni ya matumizi ya nishati safi ikiendelea kupigiwa chapuo kila sehemu, Wakala wa Umeme Vijijini (Rea) umesema kukosekana kwa elimu ni

NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema kuwa

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Diwani wa Kata ya Ilala Saady Kimji na viongozi wengine wa Chama cha Mapinduzi(CCM) wa Kata hiyo wametembelea miradi mbalimbali,

Dodoma. Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP) limesema ili Tanzania iweze kupanda zaidi daraja la uwezo wa kukopesheka (credit rating) na hivyo kuvuta uwekezaji zaidi

SHIRIKA la Marie Stopes kwa kushirikiana na Msanii wa bongo flavour na muanzilishi wa kipepeo mweusi , Mwansiti Almas watoa elimu ya afya ya uzazi

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa mtandao wa intaneti wakizidi kuongezeka nchini, wadau wa sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameshauri watoa huduma hizo