Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: July 4, 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • 4
Kimataifa

Wanawake Wanaongoza Katika Upinzani wa Kiraia wa Baloch – Masuala ya Ulimwenguni

July 4, 2024 Admin

Mahrang Baloch wakati wa kuonekana kwa umma. Kijana huyo mwenye umri wa miaka 30 ameibuka kuwa mtu mashuhuri katika vuguvugu la Baloch. Credit: Mehrab Khalid/IPS

Read More
Habari

TCB YAJIIMARISHA KWENYE USHINDANI WA SOKO KWA KUTANGAZA BIDHAA ZAKE KIDIGITALI

July 4, 2024 Admin

BENKI ya Biashara Tanzania (TCB) inajivunia kuwa moja ya washiriki wa maonyesho yanayoendelea ya SABASABA, ambayo yamezinduliwa na Mheshimiwa Rais, Dk. Samia Suluhu Hassan kwani

Read More
Kimataifa

Vita vya Gaza vinaendelea huku watu waliohamishwa kwa nguvu wakikosa nafasi ya makazi – Masuala ya Ulimwenguni

July 4, 2024 Admin

“Maelfu wanajificha ndani UNRWA shule…na majengo ya serikali,” shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi wa Kipalestina liliambia UN News, na kuongeza kuwa wengine “Tayari

Read More
Habari

MKURUGENZI WA TUME YA USHINDANI (FCC) ATOA NENO KUHUSU BIDHAA BANDIA,AWAKARIBISHA SABASABA WAWEKEZAJI.

July 4, 2024 Admin

      TUME ya Ushindani nchini (FCC) imesema itahakikisha Mwananchi nchini haumizwi na bidhaa zisizo na ubora ikiwemo kusimamia sheria ya ushindani nchini inayodhibiti

Read More
Habari

Kukosekana elimu sababu watu kukimbia majiko ya umeme

July 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati kampeni ya matumizi ya nishati safi ikiendelea kupigiwa chapuo kila sehemu, Wakala wa Umeme Vijijini (Rea) umesema kukosekana kwa elimu ni

Read More
Magazeti

“WANANCHI TEMBELEENI BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU, TUPO TAYARI KUWAHUDUMIA” DKT. YONAZI

July 4, 2024 Admin

NA. MWANDISHI WETU – DAR ES SALAAM Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Dkt. Jim Yonazi amesema kuwa

Read More
Habari

Diwani Kata ya Ilala ajivunia utekelezaji wa Ilani

July 4, 2024 Admin

Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Diwani wa Kata ya Ilala Saady Kimji na  viongozi wengine wa Chama cha Mapinduzi(CCM) wa Kata hiyo wametembelea miradi mbalimbali, 

Read More
Habari

UNDP yaionyesha njia Tanzania ya kuvuta uwekezaji zaidi

July 4, 2024 Admin

Dodoma. Shirika la Kimataifa la Maendeleo (UNDP) limesema ili Tanzania iweze kupanda zaidi daraja la uwezo wa kukopesheka (credit rating) na hivyo kuvuta uwekezaji zaidi

Read More
Burudani

MARIE STOPES, MWASITI WATOA ELIMU YA AFYA YA UZAZI KWA WASICHANA 100

July 4, 2024 Admin

SHIRIKA la Marie Stopes kwa kushirikiana na Msanii wa bongo flavour na muanzilishi wa kipepeo mweusi , Mwansiti Almas watoa elimu ya afya ya uzazi

Read More
Habari

Wadau wapendekeza njia kupambana na kukatika kwa intaneti

July 4, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati watumiaji wa mtandao wa intaneti wakizidi kuongezeka nchini, wadau wa sekta ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wameshauri watoa huduma hizo

Read More

Posts pagination

1 2 … 15 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.