SIDO YAENDELEA KUSAIDIA WAJASIRIAMALI KUJIKITA KUANZISHA VIWANDA VIDOGO

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) limeendelea kuhakikisha linawassaidia wananchi na wajasiriamali kuanzisha, kuendeleza na kuimarisha misingi ya ubunifu kwa lengo la kuongeza fursa za ajira. Akizungumza Julai 5,2024Jijini Dar es salaam kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya kimataifa Sabasaba, Mkurugenzi Mkuu SIDO, Silvester Mpanduji amesema kupitia huduma wanazozitoa…

Read More

TBS KANDA YA MASHARIKI YATEKETEZA TANI 4.5 ZA BIDHAA HAFIFU

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS), Kanda ya Mashariki limeteketeza bidhaa hafifu tani 4.5 zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 90 mara baada ya kufanya ukaguzi na kufanikiwa kukamata bidhaa hizo. Akizungumza wakati wa zoezi hilo ambalo limefanyika leo Julai 5,2024 Pugu Jijini Dar es Salaam, Kaimu Meneja Kanda ya…

Read More

Serikali yakanusha kuchelewa kutoa vibali vya uagizaji wa sukari

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital BODI ya Sukari Tanzania imekanusha taarifa za kuchelewa kutoa vibali vya uagizaji wa sukari kwa kampuni za wazalishaji nchini, badala yake baadhi ya kampuni hizo zilichelewa zenyewe kuchukua vibali hivyo. Hayo yamesemwa leo Julai 5, 2024 na Mkurugenzi wa Bodi ya Sukari Tanzania, Profesa Kenneth Bengesi, alipokuwa akizungumza na waandishi…

Read More

Unesco kuiunga mkono Tanzania mageuzi ya kidijitali

Dar es Salaam. Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema liko tayari kuiunga mkono Tanzania katika kuimarisha mabadiliko ya kidijitali. Mkurugenzi Msaidizi wa Habari na Mawasiliano wa Unesco, Tawfik Jelassi amesema hayo kupitia barua kwa Mkurugenzi wa Tume ya Tehama nchini, Dk Nkundwe Mwasaga. Dk Nkundwe hivi karibuni alikuwa kikazi…

Read More

Bakita, wadau wakitangaza Kiswahili mtaa kwa mtaa Dar

Dar es Salaam. Kuelekea maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani Julai 7, Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari, walimu, wananchi pamoja na wadau wa lugha ya Kiswahili wamefanya matembezi ya mtaa kwa mtaa kunadi lugha ya Kiswahili. Matembezi hayo ambayo yameandaliwa na Baraza la Kiswahili Taifa (Bakita) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo…

Read More