Afisa wa Umoja wa Mataifa anaelezea uharibifu kamili huko Carriacou kufuatia kimbunga Beryl – Masuala ya Ulimwenguni

Akizungumza kupitia kiungo cha video kutoka Grenada, Simon Springett, Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa huko Barbados na Karibea Mashariki, alielezea tukio la uharibifu mkubwa huko Carriacou – ambapo Beryl alianguka kwa mara ya kwanza tarehe 1 Julai. “Kisiwa kizima kimeathirika kabisa … hiyo ni asilimia 100 ya watu,” alisisitiza. Kimbunga cha Beryl ni kimbunga…

Read More

Veta yatengeneza mtaala kufundisha wafanyakazi wa ndani

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imesema imetengeneza mtaala kwa ajili ya kutoa mafunzo ya kuhudumia wazee na kazi za nyumbani kutokana na kuwapo kwa hitaji katika soko la ajira. Akizungumza leo Julai 6,2024 Julai 6,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa maarufu Sabasaba Mkurugenzi…

Read More

Kifo cha mfamasia chaibua mapya

Dar es Salaam. Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe likiendelea na uchunguzi kubaini chanzo kifo cha aliyekuwa mfamasia katika Kituo cha Afya Isansa wilayani Mbozi, Daudi Kwibuja, taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zimeibua mapya zikiwataja baadhi ya vigogo kuhusika. Mwili wa mfamasia huyo ulikutwa kando mwa barabara ya Tunduma – Mbeya, eneo la…

Read More