
MKURUGENZI MTENDAJI WA NBAA ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), CPA Pius A. Maneno akiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa Bodi hiyo kwenye Banda la Bodi hiyo lililopo ndani ya jengo la Wizara ya Fedha kwenye Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini…