England yatinga fainali za Euro 2024 – DW – 11.07.2024

Xavi Simons wa Netherlands alifunga bao la kwanza katika dakika ya saba ya mchezo, lakini nahodha wa England Harry Kane alisawazisha  katika dakika ya 18 kwa mkwaju wa penati baada ya kufanyiwa rafu katika eneo la hatari. Wakati kila mmoja akitarajia mpambano huo ungeendelea hadi kwenye muda wa ziada, Watkins aliwaamsha mashabiki wa England katika dakika ya…

Read More

NIC yaweka mikakati ya kulinda Uwekezaji nchini

Mkurugenzi Mtendaji  wa NIC Insurance  Kaimu  Mkeyenge akiwa katika Maonesho ya Sabasaba katika Ofisi ya NIC Insurance na baadhi ya Wadau kwa moja kwa moja na NIC. *Kutokana na Bima zao kwa kulipa fidia ya majanga kwa wakati. Na Chalila Kibuda Mkurugenzi mtendaji wa NIC Insurance NIC Kaimu Abdi Mkeyenge amesema kufuatia uwekezaji unaondelea nchini…

Read More

TANZANIA KUNUFAIKA NA MRADI WA ‘SUSTAINABLE OCEAN PHASE II’

TANZANIA ni miongoni mwa nchi zitakazo nufaika na mradi wa “Sustainable Ocean Phase II”unaosimamiwa na Taasisi ya Kitaifa ya Haki za Binadamu nchini Denmark(Danish Institute of Human Rights). Hayo yamebainishwa na Mshauri Mkuu wa Taasisi hiyo Bi.Carol Rask wakati walipotembelea Ofisi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora hivi karibuni Jijini Dodoma. Bi.Carol…

Read More

BDO yapigia chapuo teknolojia kutatua changamoto

Unguja. Wakati mabadiliko ya teknolojia yakiendelea kukua kwa kasi duniani kote, imeelezwa nchi za Afrika bado zinakumbwa na changamoto katika matumizi ya teknolojia hizo. Hayo yamebainika katika mkutano wa kupanga mikakati ya kwenda kidigitali kisiwani Zanzibar. Akizungumza katika mkutao huo uliofanyika hivi karibuni, Mkurugenzi Kampuni ya Ukaguzi wa Hesabu, Ushauri wa Kodi na Biashara (BDO)…

Read More

Wadau watoa mitizamo, mapendekezo matukio ya utekaji Tanzania

Dar es Salaam.  Wananchi, wadau na wanaharakati wa haki za binadamu nchini Tanzania, wameeleza chanzo cha watu wanaodaiwa kupotea au kutekwa huku wakitaja suluhisho la kuondokana na vitendo hivyo nchini. Wamesema suala la ushirikina, visasi au kuzima harakati za kundi fulani linaloonekana kuwa mbele kuhamasisha watu kudai haki fulani ni miongoni mwa vyanzo vinavyodaiwa kusababisha…

Read More