Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: July 11, 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • 11
Habari

Msigwa asifu ‘Zogo Mchongo’ ya Benki ya CRDB kutoa elimu ya fedha kwa umma

July 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tarehe 11 Julai 2024: Akizindua msimu wa pili wa kipindi maalum cha televisheni cha elimu ya fedha kwa umma cha zogo mchongo

Read More
Habari

VIJANA NA WALEZI ZAIDI YA 1000 WAPATIWA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI ARUSHA

July 11, 2024 Admin

 Na Pamela Mollel,Arusha Mafunzo ya ujasiriamali wa kuzalisha bidhaa mbalimbali yanayotolewa kwa vijana na walezi ikiwa ni hatua ya kuwezesha jamii kujitafutia kipato ili kumudu

Read More
Habari

MAKAMU WA RAIS DK. MPANGO AHANI MSIBA WA MWANAKIJIJI

July 11, 2024 Admin

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiifariji familia na waombolezaji mbalimbali kufuatia kifo cha Bi. Doleta Minya kilichotokea

Read More
Habari

WAZIRI MAKAMBA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA 26 WA KAMATI YA MAWAZIRI WA ASASI YA SIASA, ULINZI NA USALAMA YA SADC

July 11, 2024 Admin

Mbali na Mhe. Makamba, ujumbe wa Tanzania ulimjumuisha pia Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Daniel Sillo, Katibu Mkuu wa Wizara ya mambo ya

Read More
Habari

Captain Morgan Kunogesha Mbio za NBC Dodoma Marathon – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 11, 2024 Admin

    Serengeti Breweries Limited (SBL) inafuraha kutangaza kuwa chapa yake bora ya Captain Morgan, itakuwa mdhamini rasmi wa burudani na vinywaji katika Mbio za

Read More
Habari

Rais Samia ateua, amwapisha bosi mpya Usalama wa Taifa

July 11, 2024 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Suleiman Mombo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS). Mombo anachukua nafasi ya Balozi Ali

Read More
Habari

DIT YABUNI MFUMO WA UFWATILIAJI NA UDHIBITI WADUDU WAHARIBIFU KWENYE MATUNDA

July 11, 2024 Admin

CHUO Cha Teknolojia Dar es Salaam (DIT) kimefanikiwa kugundua mfumo wa ugunduzi, ufwatiliaji na udhibiti wa wadudu waharibifu jamii ya Nzi ambao kwa kiasi kikubwa

Read More
Habari

Watuhumiwa 23 wa utapeli wa ajira wadakwa Tabora

July 11, 2024 Admin

Tabora. Watu 23 ambao ni baadhi ya viongozi wa Kampuni ya Alliance in Motion Global, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Wilaya ya Tabora kwa tuhuma

Read More
Habari

PURA yaweka mikakati ya kuongeza wawekezaji

July 11, 2024 Admin

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurungezi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) Khalfan Khalfan amesema kuwa PURA itahakikisha inaongeza wawekezaji kwenye maeneo

Read More
Habari

Adha daraja lililokatika inavyoathiri wanafunzi Kilakala

July 11, 2024 Admin

Morogoro. Baada ya kuvunjika kwa daraja jirani na Shule ya Msingi Kilakala katika Manispaa ya Morogoro, ambayo inahudumia wanafunzi wenye mahitaji maalumu, usalama wa wanafunzi

Read More

Posts pagination

1 2 … 13 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.