
VITUO VYA AFYA RUVUMA VYAPEWA MIEZI 5 KUKAMILISHA MFUMO WA GoTHoMIS – MWANAHARAKATI MZALENDO
Katibu Tawala wa Mkoa wa Ruvuma Bi. Rehema Madenge ametoa muda wa miezi mitano kwa vituo vya kutolea huduma za Afya katıka mkoa huo kukamilisha kufunga mfumo wa udhibiti wa taarifa za mgonjwa na mapato (GoTHoMIS) ili kuongeza kasi ya makusanyo na kutoa huduma bora kwa wananchi. Bi. Madenge ametoa maelekezo hayo…