
VODACOM MSHINDI WA KWANZA SEKTA YA MAWASILIANO MAONESHO YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA 48 MWAKA 2024
BAADHI ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu ya VODACOM PLC wakiwa na nyuso za furaha huku wakiwa wameshikilia Tuzo ya Mshindi wa Kwanza katika Sekta ya Mawasiliano kwenye Maonesho ya Biashara ya Kimaitaifa ya 48 yaliyofanyika katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es salaam kuanzia Juni 28,2024 hadi Julai 14 ,2024.Tuzo hiyo ilikabidhiwa…