WANAWAKE WAWILI WALIOKUFA DODOMA HAWAJAUAWA, WAMEKUFA KIFO CHA KAWAIDA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Theopista Mallya amethibitisha kutokea Kwa vifo vya Wanawake wawili ambapo katika uchunguzi wamebaini Wanawake hao hawakuuawa.     Kamanda Mallya ameyasema hayo Julai 23,2024 Jijini Dodoma wakati akizungumza na Waandishi wa Habari ambapo amesema baada ya kufanyika uchunguzi mwili wa mwanamke wa kwanza alitambulika Kwa Jina la Alesi…

Read More

MITUNGI YA GESI YA SH. BILIONI KUMI KUTOLEWA NA SERIKALI 2024/25 – MHE. KAPINGA – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika mwaka huu wa fedha itatoa mitungi ya gesi takriban 400,000 kwa wananchi yenye thamani ya Shilingi Bilioni kumi.     Akizungumza na wananchi wiilayani Mbinga Mhe. Kapinga amesema lengo la Serikali ni kuongeza matumizi ya Nishati Safi ya…

Read More

Zaidi ya Swali la Kodi – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Kabir Dhanji/AFPvia Getty Images Maoni na Andrew Firmin (london) Jumanne, Julai 23, 2024 Inter Press Service LONDON, Julai 23 (IPS) – Rais wa Kenya William Ruto ameondoa Muswada wa Sheria ya Fedha wa kuongeza kodi ambao ulizua maandamano makubwa. Amewahi kufukuzwa kazi baraza lake la mawaziri na mkuu wa polisi alijiuzulu. Lakini hasira ambayo…

Read More