PROF MKENDA AITANGAZA RASMI SAMIA SCHOLARSHIP EXTENDED ILIYOTENGEWA BAJETI YA BILIONI 1.6.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolph Mkenda amesema kuwa wamegundua uwepo wa uhaba mkubwa wa wataalam katika nyanja ya Sayansi na Teknolojia ya Nyukilia hapa Nchini ambapo uhalisia unaonesha kuna idadi ndogo ikiwemo Afya,Elimu,Nishati, Viwanda,Kilkmo na kwingineko. Prof. Mkenda ameyasema hayo leo hii Jijini Dodoma katika mkutano na Wanahabari…

Read More

Aweso aweka kambi Singida kutafuta suluhu Maji chini ya Ardhi

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ameipongeza Kampuni ya AL FRADAWS investment Company Limited kutoka Jordan ambayo ni wawekezaji katika uzalishaji wa Mbegu mbalimbali Mkoani Singida kwa Kuja na Suluhisho katika Upatikanaji Maji Mkoani humo Kupitia Teknolojia ya Pivot irrigation System.Mkoa wa Singida ni kati ya mikoa yenye changamoto ya vyanzo vya Maji vya uhakika…

Read More

Picha: Yanga SC wazindua Jezi mpya Msimu 2024/25

Kuelekea kuanza kwa msimu mpya wa 2024/2025 Yanga SC wametambulisha rasmi jezi zao za nyumbani, ugenini na jezi mbadapa (third kit) watakazotumia katika msimu ujao wa mashindano, jezi hizo zitauzwa Tsh 45,000. . . . . . . . . . The post Picha: Yanga SC wazindua Jezi mpya Msimu 2024/25 first appeared on Millard…

Read More

EWURA YAIBUKA KIDEDEA BONANZA LA WIZARA YA NISHATI DODOMA

  Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati , Dkt. Doto Biteko akimkabidhi kombe la ushindi Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Dkt. James Andilile baada ya EWURA kuibuka mshindi wa jumla katika Bonaza la Michezo liloandaliwa na Wizara ya Nishati likishirikisha Tassisi 11 zilizochini ya Wizara hiyo leo 27.7.2024 jijini Dodoma. Kushoto ni Waziri wa Nchi,…

Read More