Ali Kamwe aaga Jangwani, ataja sababu

Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ali Kamwe ametangaza kuachia nafasi hiyo huku akisema muda wake umemalizika. Kamwe aliyehudumu katika nafasi hiyo kwa miaka miwili amethibitisha kuondoka Yanga kupitia ukurasa wake wa mtandao w Instagram leo Jumapili Julai 28, 2024. “Mtumbuizaji mzuri anatakiwa kujua ni wakati gani wa kuondoka Jukwaani. Maneno ya hekima kutoka…

Read More

WANAMICHEZO WA TANZANIA WAJIANDAA KUTUPA KARATA ZAO ZA KWANZA KWENYE MICHEZO YA 33 YA OLIMPIKI YA MAJIRA YA JOTO YA PARIS 2024

WANAMICHEZO watatu wa Tanzania walioko Paris kwenye michezo ya 33 ya Olimpiki ya majira ya joto ya Paris 2024 wameendelea na mazoezi makali chini ya makocha wao, wakijiandaa kwa michuano yao inayoanza rasmi kesho Jumatatu Julai 29, 2028. Tanzania itatupa karata yake ya kwanza kwenye michuano hii ya 33 ya Olimpiki ya Majira ya joto…

Read More

Waosha karoti walia ubovu wa miundombinu, waomba maboresho

Moshi. Waosha karoti katika eneo la Mto Karanga kwenye daraja la Bonite, Manispaa ya Moshi, wameiomba Serikali kuangalia uwezekano wa kuboresha eneo hilo, hatua ambayo itawawezesha kufanya kazi hiyo kwa ubora zaidi na katika mazingira salama. Wakizungumza na Mwananchi Digital kwa nyakati tofauti wakati wakiendelea na kazi hiyo ambayo ndiyo ajira yao, wamesema mazingira wanayofanyia…

Read More

JICHO LA MWEWE: Kibu mkandaji ametukumbusha zama za kina RamaDHAN Lenny

ZAMANI tuliwahi kuishi maisha ya kushangaza sana katika soka. Mfano ni pale mchezaji anapoendelea kuwa mali ya klabu hata msimu unapoishi licha ya kutokuwa na mkataba. Zamani klabu zilikuwa hazina mikataba. Wachezaji walikuwa wanasaini katika fomu moja. Bado wachezaji walilazimika kutoroka hata msimu ulipoisha na kwenda nje kusaka malisho. Wachezaji wengi walikuwa wanatorokea Uarabuni. Ilikuwa…

Read More

Kitendawili Mwanachi Day! Yanga yaficha jina la timu

KLABU ya Yanga jana usiku ilizianika jezi mpya za msimu ujao, zilizogeuka gumzo ikiwa ni siku chache tangu watani wao, Simba kuzindua uzi wao katika hifadhi ya Mikumi, Morogoro huku mabosi wa klabu hiyo wakificha jina la timu itakayocheza nao katika Tamasha la Kilele cha Wiki ya Mwananchi, Agosti 4. Simba ilizindua jezi na kuweka bayana…

Read More

VIONGOZI WA DINI KAGERA WAMUOMBEA RAIS SAMIA, BASHUNGWA AWASILISHA MCHANGO HARAMBEE UJENZI WA KANISA ANGLIKANA

Viongozi wa Dini wa Mkoa wa Kagera wameungana kwa pamoja kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Viongozi wa Kitaifa na Serikali kwa kuendelea kudumisha Amani, Utulivu, Upendano na Maelewano. Ibada hiyo iliyowakutanisha viongozi wa Dini ya Kikristo na Kiislamu imefanyika leo Julai 28, 2024 katika Kanisa Anglikana Mt….

Read More