Mbunge wa Chalinze,Ridhiwani Kikwete ameshiriki kikao cha Baraza la Madiwani Cha Chama Cha Mapinduzi kuchagua diwani atakayegombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Chalinze kilichofanyika Chalinze ,mapema leo.#KaziInaendelea
Habari za Kitaifa
 
			
.jpeg)
