
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 30,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 30,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO JULAI 30,2024 Featured • Magazeti About the author
Machi kutafuta haki katika Asunción, mji mkuu wa Paraguay. Mikopo Patricia López Maoni na Monica Centron – Isabella Camargo – Bibbi Abruzzini (asunciÓn, Paragwai) Jumatatu, Julai 29, 2024 Inter Press Service ASUNCIÓN, Paraguay, Julai 29 (IPS) – Katika hatua ambayo imeibua wasiwasi wa kitaifa na kimataifa, Seneti ya Paraguay imetoa kibali cha awali kwa mswada…
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM (MNEC) Mkoa wa Iringa Mhe. Salim Abri Asas anatarajiwa kufanya ziara maalum katika Mkoa huo ambapo pia atakutana na Halmashauri Kuu za CCM Wilaya. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Siasa, Uenezi na Mafunzo Mkoa wa Iringa imebainisha kuwa ziara hiyo inatarajia kuanzia…
None selected Picha Mkuu wa wilaya ya Tunduru ambaye pia Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama Simon Chacha,akizungumza na wataalam wa idara ya kilimo na ushirika wa wilaya hiyo(hawapo pichani) kwenye moja ya kikao kazi kilichofanyika ofisini kwake mjini Tunduru,katikati ni Afisa umwagiliaji kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji mkoa wa Ruvuma Mhandisi Lusia…
Dar es Salaam. Kuongezeka kwa kipato kwa baadhi ya Watanzania kumetajwa kuwa moja ya sababu ya kutokupenda kula vyakula vya jamii ya mikunde na kuona chakula hicho ni maalumu kwa watu duni. Kuongezeka kwa kipato kumekuwa kukiwafanya watu kuona kula nyama ndiyo sawa, huku wakiona kula vyakula jamii ya mikunde ni kuwa na hali duni….
Dar es Salaam. Washiriki wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal ya Fasihi ya Afrika wametakiwa kuwasilisha miswada yao kwa ajili ya shindano la mwaka 2024, huku waandishi wanawake wakihimizwa kujitokeza kwa wingi kushiriki. Uwasilishwaji wa miswada unaanza kesho Julai 30, 2024 ambapo waandishi kutoka Afrika Mashariki na duniani kote wanaoandika kwa Kiswahili wanahimizwa kuwasilisha miswada…
Dar es Salaam. Abdulrahman Kinana, ameamua kupumzika siasa za majukwaani. Ni baada ya kukitumikia Chama cha Mapinduzi (CCM) katika nafasi mbili za juu. Alianza akiwa Katibu Mkuu akaomba kupumzika. Aprili mosi, 2022 wajumbe wa mkutano mkuu wakamchagua kwa kishindo kuwa Makamu Mwenyekiti-Bara wa chama hicho. Kinana (71), amemwandikia barua Mwenyekiti wake wa chama, Rais Samia…
Serikali imesema kuwa mradi mkubwa wa usafirishaji umeme wa TAZA unaohusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Sumbawanga na kuunganisha Tanzania na Zambia (TAZA) pamoja na vituo vya kupoza umeme vya Tagamenda, Kisada, Iganjo, Nkengamo na Malangali utawezesha kuunganisha Bara la Afrika kwa nishati ya umeme kutoka…
Dar es Salaam. Shahidi wa kwanza wa utetezi katika kesi ya mkopo tata baina ya kampuni ya Kahama Oil Mills Limited na wenzake dhidi ya Benki za Equity Tanzania Limited (EBT) na Equity Kenya Limited (EBK), amehitimisha ushahidi wake uliohusisha nyaraka mbalimbali zinazohusiana na mkopo huo. Shahidi huyo, Michael John Kessy kutoka EBT, amehitimisha ushahidi…
Kagera. Moto ambao chanzo chake hakijafahamika umeibuka na kuteketeza bweni la sekondari ya Mugeza iliyopo Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera. Moto huo unadaiwa kuibuka leo Jumatatu Julai 29, 2024, saa 5:45 asubuhi na kuteketeza mali vikiwemo vitanda, magodoro na madaftari ya wanafunzi zaidi ya 120 waliokuwa wakilala ndani bweni hilo. Kaimu Mkuu wa Kikosi cha…