Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 10
Habari

DKT.JAFO APONGEZA UWEKEZAJI KIWANDA CHA SUKARI KILOMBERO

July 31, 2024 Admin

  Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, aakizungumza mara baada ya kukagua kiwanda cha sukari Kilombero kilichopo mkoani Morogoro mara baada ya kutembelea

Read More
Habari

Majeruhi Leny Yoro yamuweka nje ya uwanja akiwa Man Utd

July 31, 2024 Admin

Mchezaji mpya wa Manchester United aliyesajiliwa kwa pauni milioni 59 Leny Yoro anatarajiwa kuwa nje ya msimu wa 2024/25 kutokana na jeraha la mguu. Mchezaji

Read More
Michezo

SIMBA QUEENS YACHUKUA WATATU KUTOKA YANGA PRINCESS – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

    Timu ya wanawake ya Simba Queens imemtambulisha kiungo wao mpya mshambuliaji ambaye ni raia wa Nigeria Precious Christopher akitokea timu ya Wanawake ya

Read More
Habari

Rais Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma kesho

July 31, 2024 Admin

Dodoma. Rais Samia Suluhu Hassan kesho Alhamisi, Agosti 1, 2024 atazindua treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kwa kupanda kutoka jijini Dar es

Read More
Habari

WATAALAM WA RADIOLOJIA WAPATIWA MAFUNZO YA MATUMIZI YA MASHINE ZA X-RAY

July 31, 2024 Admin

Wataalamu wa Radiolojia 35 kutoka Hospitali za Halmashauri na vituo vya Afya wa Mikoa 17 nchini wakipatiwa mafunzo ya matumizi ya mashine za X-ray za

Read More
Habari

Kilele cha maadhimisho ya Kumbukizi ya Urithi wa hayati Mheshimiwa Benjamin William Mkapa

July 31, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akitembelea na kukagua mabanda ya wadau wa maendeleo katika Sekta ya Afya wanao

Read More
Habari

Watoto waliokuwa wanaokota kuni wabaini mafuvu 17 kanisani

July 31, 2024 Admin

  Mafuvu ya watu 17 yaliyokuwa yamezikwa ndani ya makasha ya chuma yamefukuliwa katika jengo linalodaiwa kuwa la kuabudia katikati mwa Uganda. Inaripoti Mitandao ya

Read More
Habari

UTANI WAMGEUZA MCHEKESHAJI MAARUFU AFRIKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

  Kutana na mchekeshaji maarufu wa Togo Arnoli Boukary Togo ambaye amepata umaarufu mitandaoni kwa ulaji wake wa tambi.       Boukary amejizolea takriban

Read More
Habari

HRW yailaumu Tanzania kwa kuikuka haki za Wamaasai – DW – 31.07.2024

July 31, 2024 Admin

Shirika la Human Rights Watchkwenye ripoti yake hiyo limebainisha matukio ya kikosi cha askari wanaosimamia hifadhi za wanyamapori wakiwashambulia na kuwapiga wakazi katika eneo hilo

Read More
Habari

Shule za wasichana zawaweka mtegoni Ma-DED, wapewa siku 30 kukamilisha ujenzi

July 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ametoa mwezi mmoja (sawa na siku

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.