Vijana Kenya waonywa kutoandamana kufika uwanja wa ndege – DW – 23.07.2024

Mamlaka ya uwanja wa ndege ya Kenya imewashauri abiria wanaotumia uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta kufika mapema kuliko kawaida. Tahadhari hiyo inatokana na hatua ya baadhi ya waandamanaji kujipanga kukusanyika katika maeneo ya uwanja huo. Kaimu Inspekta Jenerali wa polisi nchini humo Douglas Kanja Kirocho amewaonya waandamanaji dhidi ya jaribio hilo la kuuvamia…

Read More

Ditto akwaa kisiki kesi dhidi ya DStv, afunguka

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited maarufu DStv, uamuzi ambao haujaacha kicheko kwa mlalamikaji. Ditto ambaye jina lake halisi ni Dotto Bwakeya alifungua kesi ya madai mahakamani hapo mwaka 2020 akiiomba iamuru DStv imlipe…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Mmejipanga na urejeo wa Manara?

PAMOJA na hatua nyingi za maendeleo zilizopigwa kwenye soka kama taifa, lakini bado mpira wetu unanogeshwa na porojo nyingi. Bado mpira unachezwa sana mdomoni kuliko hata uwanjani. Mpira wetu una siasa nyingi. Haji Manara ni msemaji wa Klabu ya Yanga ambaye alikuwa kifungoni. Haji ni muasisi wa usemaji wa majigambo.  Amepata umaarufu mkubwa kwa sababu…

Read More

“CHAGUENI VIONGOZI WA MAENDELEO UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA,”- DKT. BITEKO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuchagua Viongozi Bora wa Serikali za Mitaa kwenye uchaguzi mwaka huu ambao watakuwa mstari wa mbele kuleta maendeleo na kutatua changamoto zao kwa haraka. Dkt. Biteko ameyasema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara kijiji cha Lyambamgongo wilaya ya Bukombe mkoani Geita. “Muda…

Read More

'Mtandao mzima wa kijamii' unajitokeza nchini Haiti huku uhamisho ukiendelea – Masuala ya Ulimwenguni

Idadi ya watu waliolazimika kukimbia makazi yao imeongezeka kutoka 362,000 mapema mwezi Machi wakati ghasia zilipoongezeka katika mji mkuu Port-au-Prince hadi zaidi ya 578,000 mwezi Juni, ongezeko la asilimia 60 ndani ya miezi mitatu pekee. Kwa hivyo, nini kinatokea Haiti wakati watu wamehamishwa na UN inajibuje? Hatua ya kwanza ya jibu lolote la mgogoro ni…

Read More

Joe akubali kung’atuka – DW – 21.07.2024

Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza Jumapili kuwa anakaa kando kutoka kwenye kinyang’anyiro cha urais wa Marekani 2024. “Imekuwa heshima kubwa maishani mwangu kuhudumu kama rais wenu,” alisema kwenye chapisho la mtandaoni. “Na ingawa imekuwa nia yangu ya kutaka kuchaguliwa tena, naamini ni kwa manufaa ya chama changu na nchi yangu mimi kukaa pembeni.” Soma pia: Biden akataa…

Read More