
WAZIRI BASHE ATANGAZA NEEMA KILIMO CHA UMWAGILIAJI KATAVI
-Serikali yawekeza zaidi ya shilingi Bilioni 55 Katavi -Azindua ujenzi wa Maghala mawili na kuweka jiwe la Msing ujenzi wa Ukarabati wa Skimu ya Umwagiliaji -Aishukuru Tume kwa kutekeleza miradi zaidi ya 29 Katavi mkoani humo Waziri Kilimo Hussein Bashe, ametangaza neema kwa wakulimo wa Katavi na kusisitiza kuwa serikali imedhamiria kuendelea kuwekeza katika kilimo…