Mwili wa dereva bodaboda aliyetoweka siku tano wakutwa shambani

Rombo. Dereva wa bodabodo, Jackson Ngowi (24), mkazi wa Kijiji cha Maharo, Kata ya Makiidi, Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, aliyetoweka kwa siku tano, mwili wake umekutwa ukiwa umetelekezwa kwenye moja ya shamba lililopo katika Kijiji cha Ngambeni ukiwa umeharibika. Kijana huyo anadaiwa kutoweka Julai 14, 2024 baada ya kukodiwa na mtu asiyefahamika, huku wenzake…

Read More

PSPTB YATANGAZA MATOKEO YA MITIHANI YA 28

  Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza rasmi matokeo ya mitihani ya 28 ya PSPTB iliyofanyika kuanzia 13 Mei hadi 17 Mei, 2024 katika vituo sita vya mitihani Tanzania bara na Visiwani. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi Mtendaji wa PSPTB Godfred Mbanyi amesema jumla ya watahiniwa wapatao 1,280 walisajiliwa ili kufanya…

Read More

TIC yatoa semina ya Uwekezaji Mwanza

Ikiwa ni mwendekezo wa Kampeni ya Kitaifa Kuhamasisha Uwekezaji wa Ndani imeendesha semina juu ya masuala ya mbalimbali ya Uwekezaji leo 19 Julai, 2024 katika Ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mwanza Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Tausi Kida amepongeza jitihada zilizofanywa na Mkoa wa Mkoa wa Mwanza Mhe. Said…

Read More

Baridi inavyopaisha bei ya ndizi Rungwe

Mbeya. Uzalishaji wa ndizi katika Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya umeshuka mwaka baada ya mazao hayo kushindwa kukomaa kwa wakati kutokana na baridi kali wilayani humo kwenye miezi ya Juni na Julai. Kutokana na changamoto hiyo, mahitaji ya ndizi yamekuwa makubwa, hali inayosababisha wakulima kuziuza chache zilizopo kwa bei ya juu katika masoko yaliyopo Malawi,…

Read More

MABOMU BARIDI 700 KUTUMIKA WILAYANI NACHINGWEA KUDHIBITI TEMBO

Na Anangisye Mwateba-Nachingwea Lindi Wizara ya Maliasili na Utalii inatarajia kugawa mabomu baridi yapatayo 700 kwa ajili kukabiliana na wanyama wakali na waharibifu wilayani Nachingwea. Haya yamebainishwa na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dunstan Kitandula (Mb) alipokuwa akiongea na mamia ya wananchi wa kata za Mkoka na Kilimarondo wilayani Nachingwea, ikiwa ni muendelezo…

Read More

Kikongwe wa miaka 90 afariki dunia kwa shambulio la nyuki

Arusha. Vilio na simanzi vimetanda katika boma la Mitong’ori lililopo katika Kata ya Olturoto wilayani Arumeru baada ya nyuki kumvamia na kusababisha kifo cha Penina Tadayo (90). Penina amefariki dunia leo Julai 19, 2024 wakati akipelekwa katika Hospitali ya Rufaa Mount Meru kwa matibabu baada ya kuvamiwa na nyuki hao alipokwenda shambani kuchimba magimbi. Akithibitisha…

Read More