Upungufu wa walimu unavyowaliza wazazi Mwanga

Mwanga. Wazazi katika Kata ya Kigonigoni iliyopo Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia upungufu wa walimu ikielezwa baadhi ya shule za shule za msingi zenye watoto wengi zina walimu wawili hadi wanne. Wilaya hiyo yenye shule za msingi 110, ina jumla ya wanafunzi 24,476 wa darasa la awali hadi la saba na hivyo kuwa na…

Read More

Waziri awataka wavuvi wawe tayari kubadilika

Unguja. Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Shaaban Ali Othman, amesema ili kuzitatua changamoto za wavuvi na uharibifu wa mazingira ya baharini, lazima kuwepo ushirikiano wa pamoja kati ya viongozi wa Mikoa, Wilaya na Masheha.  Kauli hiyo inakuja kutoana na ukweli kwamba kumekuwa na uharibifu mkubwa unaofanyika katika maeneo tengefu ya bahari sambamba na…

Read More

KIKAO CHA WADAU WA UMWAGILIAJI MWAMKULU CHAFANA

NIRC Katavi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji NIRC imefanya Mkutano wa Wadau wa Umwagiliaji kwa Skimu za Mwamkulu na Kabage Mkoani Katavi Mkutano huo umejumuisha wakulima wa kata ya Mwamkulu, wataalamu kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Makao Makuu na Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoka, viongozi wa chama ngazi ya…

Read More

Mzamiru Yassin hana presha kabisa Simba SC!

KIUNGO mkabaji wa Simba, Mzamiru Yassin amesema hana presha yoyote ndani ya timu hiyo licha ya kusajiliwa mashine kadhaa mpya zinzocheza eneo lake, kwa vile anaamini kila mchezaji wa kikosi hicho kinachoendelea kujifua jiji la Ismailia, Misri ana nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. Simba imeongeza mashine kadhaa mpya katika eneo hilo baada ya kuondoka…

Read More

UTAFITI; Watu ambao Hukesha Hadi Usiku Sana Huwa na Akili Kuwazidi Wanaoamka Mapema – MWANAHARAKATI MZALENDO

#UTAFITI; Utafiti mpya umegundua kuwa watu ambao hukesha hadi usiku sana wakifanya kazi zao (maarufu kam bundi wa usiku) na kuamka baadaye mchana, huwa na akili ya kuzidi ikilinganishwa na wanaoamka mapema. Utafiti kutoka Chuo cha Imperial London na Chuo Kikuu cha Madrid umeonyesha kuwa wakeshaji huwashinda uwezo wenzao wanaokua mapema katika kazi za utambuzi…

Read More

Wakulima waelezwa athari kununua karafuu kwa vishoka

Pemba. Wakulima wa karafuu Kisiwani Pemba, wametakiwa kutouza karafuu zao kwa watu wanaopita mitaani kwani jambo hilo licha linakwenda kinyume na sheria ya maendeleo ya karafuu Zanzibar linawafanya wadhulumiwe kwani vipimo hivyo ni vya wizi. Akizungumza na waandishi wa habari huko katika ukumbi wa Kiwanda cha Mafuta ya Makonyo Wawi Chake Chake.  Mkurugenzi Mwendeshaji wa…

Read More

LUCKY 6 NA KENO INAKUPA BONASI YA KASINO 10%

KIPINDI Cristiano Ronaldo anatiua Man Utd alichagua kuvaa jezi namba 7, alivyoenda Madrid alikuta jezi namba 7 inaliwa na mchezaji mwingine, lakini aliisubiri hadi muda wake ulipofika akapewa. Ilikuwa ni jezi yene bahati na historia kubwa sana kwa Mwanasoka huyo, amefanya makubwa akiwa na Jezi namba 7 mgongoni. Jisajili Meridianbet kupata bonasi za kasino ya mtandaoni kibao….

Read More

Nionavyo: Hizi kambi za pre-season ni muhimu kwa klabu

KWA miongo mingi sasa umekuwa utamaduni wa klabu kufanya kambi za kujiandaa na msimu mpya maarufu kama pre season. Kwa miaka ya karibuni, kalenda za ligi ya soka duniani hazitofautiani sana, yaani ligi zinaanza na kutamatika katikati ya kalenda ya mwaka. Ligi za mataifa mengi zinaanza Agosti au Septemba na kutamatika Mei au Juni. Baada…

Read More