Nusu fainali ya wageni Kagame Cup 2024

MICHUANO ya Kombe la Kagame 2024 imefikia patamu wakati leo zikipigwa mechi za nusu fainali ambazo hata hivyo zinakutanisha wageni watupu, baada ya wenyeji Coastal Union, Singida BS na JKU kutolewa mapema hatua ya makundi. Nusu fainali ya kwanza itazikutanisha APR ya Rwanda dhidi ya Al Hilal ya Sudan mechi itakayopigwa kuanzia saa 9:00 alasiri…

Read More

Simba Queens yajichimbia Bunju | Mwanaspoti

MABINGWA wa Ligi ya wanawake (WPL), Simba Queens imeanza kambi ya kujiandaa na michuano ya Klabu Bingwa kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), ikijichimbia Uwanja wa Mo Simba Arena, Bunju, jijini Dar es Salaam. Msimu wa 2022, Simba ilichukua ubingwa huo wa Cecafa kwa kuifunga She Corporate FC ya Uganda kwa bao 1-0…

Read More

Serikali inatekeleza mradi wa ujenzi wa minara 758 utakaonufaisha wananchi Milioni 23.6 :Waziri Nape

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye (MB) amesema Serikali inatekeleza Mradi wa ujenzi wa Minara 758 unaogharimu zaidi ya Bilioni 200 utakaonufaisha wananchi Milioni 23.6 kupata huduma bora za Mawasiliano ya intaneti, data na simu. Nape amebainisha hayo alipokua Wilayani Sengerema akiendelea na ziara ya kukagua Mnara wa mawasiliano katika Kisiwa…

Read More