Heri Lamine Yamal hajamkuta Lionel Messi

KWA sasa moja ya majina yanayotamba duniani ni la Lamine Yamal. Ndio. Kile alichokionyesha kwenye michuano ya Euro 2024 Ujerumani, ilikuwa lazima aimbwe kila kona. Kipaji chake alichonacho tangu aanze kucheza soka kwenye akademi ya vijana ya Barcelona na hadi kupanda timu ya wakubwa, imekuwa gumzo. Hata hivyo, kuna wanaoamini, endapo staa huyo angekuwa timu…

Read More

THBUB YATOA RIPOTI YA CHUNGUZI MBALIMBALI ILIZOFAFANYA KWA MWAKA 2023/24, LIPO SUALA LA GEKUL NA MAKONDA

Na Gideon Gregory Dodoma. Imeelezwa kuwa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora kwasasa imeongeza kasi ya ushughulikiaji wa malalamiko ya uvunjwaji wa haki za binadamu na misingi ya utawala bora kutokana na upatikanaji wa rasilimali fedha kwaajili ya uchunguzi ambapo kwa mwaka 2022/23 tume hiyo ilikuwa ikishughulikia jumla ya malalamiko 1524 ambapo ilihitimisha…

Read More

Geita Gold yaaanza na kocha

GEITA Gold imeanza kujipanga kusajili kwa ajili ya Ligi ya Championship, imemsajili kocha Aman Josiah kwa mkataba wa mwaka mmoja, ili kuipandisha timu hiyo msimu ujao. Kocha huyo, msimu ulioisha alikuwa na Biashara United, ambayo ilishindwa kupanda Ligi Kuu Bara baada ya kucheza mtoano na Tabora United iliyowafunga jumla ya mabao 3-0, hivyo ikamaliza nafasi…

Read More

Hitilafu ya mtandao yaripotiwa maeneo kadhaa duniani – DW – 19.07.2024

Hitilafu kubwa ya mifumo ya kompyuta na kukatika kwa mtandao imeshuhudiwa mapema hii katika maeneo mbalimbali duniani, shughuli mbalimbali ikiwemo usafiri wa anga, mawasiliano ya simu na hata matangazo ya televisheni kuanzia Australia, Marekani hadi Ulaya yameathirika. Makampuni makubwa ya ndege kuu za Marekani kama Delta, United na American Airlines yamesimamisha safari zote za ndege…

Read More

Mashujaa yaiota nne Bora mapemaa!

WAKATI kikosi cha Mashujaa Kigoma kikiendelea kujifua kwa kupiga tizi la nguvu katika fukwe za bahari ya Hindi jijini Dar es Salaam, uongozi wa timu hiyo umesema malengo ya msimu huu ni kumaliza katika nafasi nne za juu katika Ligi Kuu Bara ili ikate tiketi ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani. Timu hiyo itakayoshiriki Ligi…

Read More

BLAQBONEZ AMEKUJA KIVINGINE KWENYE MUZIKI WA HIP HOP

  Staa wa muziki kutoka Nigeria, Akumefule Chukwuemeka Georg maarufu kama  Blaqbonez anayewakilisha lebo ya Chocolate City Music, Julai 19,20024 leo anatarajia kuachia kazi yake mpya iitwayo  Fire On Me”. Mkali huyo anaachia kazi yake hiyo  huku akiwa amepata mafanikio  makubwa kupitia albamu yake ya tatu iitwayo  “Emeka Must Shine”.  Kwenye ngoma yake hii mpya…

Read More