Bangladesh yapiga marufuku maandamano – DW – 19.07.2024

Machafuko ya wiki hii yamesababisha vifo vya takriban watu 39, wakiwemo watu 32 waliouawa jana Alhamisi, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka baada ya ripoti za mapigano katika karibu nusu ya wilaya 64 za nchi hiyo. Wanafunzi wameingia barabani tena leo Ijumaa asubuhi kabla ya kuanza maandamano yanayotarajiwa kufanyika baada ya sala ya Ijumaa katika taifa…

Read More

Nagombea kuwa Rais wa Marekani yote – DW – 19.07.2024

Trump mwenye umri wa miaka 78 alisimama jukwaani kwa zaidi ya dakika 90, akisimulia kwa hisia namna alivyonusurika kifo kabla ya kugeukia malalamiko juu ya namna Wademocrat wanashughulikia uchumi, uhamiaji na masuala mengine. Tutakuwa na hadithi ya ajabu, na tutaanza miaka minne mikubwa zaidi katika historia ya nchi yetu, alisema Trump kwenye Mkutano Mkuu wa…

Read More

Shambulio la droni laua mmoja Tel Aviv – DW – 19.07.2024

Mamlaka za Israel zimesema kuwa shambulio hilo lilitokea mjini Tel Aviv saa tisa alfajiri. Afisa wa jeshi hilo ambaye hakutaka kutajwa jina amesema droni iliyoshambulia ilitambuliwa na mfumo wa ulinzi lakini king’ora cha tahadhari hakikulia kutokana na makosa ya kibinadamu. Idara ya huduma za dharura nchini humo imesema, watu karibu kumi walipata usaidizi kutoka kitengo hicho…

Read More

Jela miaka 30 kwa kumbaka mtoto wa kambo

Kwimba. Mahakama ya Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza imemuhukumu mkazi wa Mtaa wa Majengo mjini hapa, Michael John (45), kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mtoto wake wa kambo. Binti huyo mwenye umri wa miaka 14, ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Akitoa ushahidi Julai 17, 2024 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi…

Read More

Bidhaa zashuka bei, wachumi watoa somo

Dar es Salaam. Bei za bidhaa mbalimbali katika masoko kadhaa jijini Dar es Salaam zimeshuka, sababu kubwa ikielezwa ni kutokana na kuanza msimu wa mavuno. Hata hivyo, wataalamu wa uchumi wamesema watu watarajie bei hiyo haitadumu muda mrefu sokoni kwa kuwa ndipo wafanyabiashara wakubwa hununua kwa wingi na kuhifadhi kwenye maghala, ili kuja kuuza kwa…

Read More