CAMAC WAKUTANA NA WADAU MBALIMBALI KUJADILI SHERIA NA HAKI ZINAZOGUSA AFYA YA UZAZI

WADAU mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, baadhi ya wabunge na Umoja wa Mashirika yasiyo ya Serikali (CAMAC) wamekutana na kujadili sheria na haki zinazogusa Afya ya Uzazi. Katika mkutano huo iliongelewa kuwa kuna umuhimu wa kuwasaidia wasichana na wanawake waliopata mimba kutokana na ukatili kama kubakwa,maharimu na shambulio la ngono.Wahanga hawa kusaidiwa ili kuepusha utoaji…

Read More

Chanzo neno hat-trick hiki hapa

MARA nyingi utasikia mchezaji wa kandanda kafunga hat-trick, yaani mabao matatu katika mchezo, lakini mashabiki wengi na hata baadhi ya waandishi wa habari za michezo hawajui asili ya hili neno hat-trick. Mara nyingi waandishi na wachambuzi wa  michezo nchini huzungumzia mchezaji kufunga ‘hat-trick’ katika kandanda na hawaendi mbali zaidi. Tafsiri fupi inayotolewa ni kwamba hat-trick…

Read More