Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: July 2024

  • Home
  • 2024
  • July
  • Page 11
Habari

Tanzania, Malawi na Msumbiji waingia makubaliano mto Ruvuma

July 31, 2024 Admin

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso waziri mwenyeji wa umoja wa nchi tatu zinazonufaika na Mto Ruvuma Tanzania, Malawi na Mozambique ameongeza Mkutano na Hafla

Read More
Habari

AKAMATWA KWA KUTENGENEZA VYETI BANDIA, KUHITIMU JKT – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

    Idara ya Uhamiaji mkoani Mbeya imemkamata Dismas Nziku kwa tuhuma za kutengeneza vyeti bandia vya kuzaliwa vinavyofanana na vile vinavyotolewa na Wakala wa

Read More
Habari

Washirika wa Hamas walaani mauaji ya kiongozi wake – DW – 31.07.2024

July 31, 2024 Admin

Nchi kadhaa ulimwenguni na washirika wa Palestina, wamelaani mauaji ya kiongozi wa Hamas Ismail Haniyehna kuonya kwamba kifo chake huenda kikatibua juhudi za kutafuta usitishaji

Read More
Habari

Viongozi wa dini Tanzania waelezea alama alizoacha Hayati Mkapa

July 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi wa dini nchini Tanzania wamemuelezea Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Hayati Benjamin Mkapa ni kiongozi aliyeacha alama zinazoendelea kukumbukwa na

Read More
Habari

KAMALA AMTAKA TRUMP USO KWA USO  – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

  Makamu wa Rais wa Marekani ambaye anapewa kipaumbele na chama chake cha Democratic kuwania urais wa nchi hiyo Kamala Harris ametamani kukutana ana kwa

Read More
Habari

Jumuiya ya Waislamu yagonga mwamba kortini, Bakwata yaibuka kidedea

July 31, 2024 Admin

Arusha. Mahakama ya Rufani imeyatupa maombi ya Baraza la Wadhamini wa Jumuiya ya Waislam Tanzania ya kutaka Bodi ya Wadhamini ya Baraza Kuu la Waislamu

Read More
Habari

CAMAC WAKUTANA NA WADAU MBALIMBALI KUJADILI SHERIA NA HAKI ZINAZOGUSA AFYA YA UZAZI

July 31, 2024 Admin

WADAU mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini, baadhi ya wabunge na Umoja wa Mashirika yasiyo ya Serikali (CAMAC) wamekutana na kujadili sheria na haki zinazogusa Afya

Read More
Michezo

Chanzo neno hat-trick hiki hapa

July 31, 2024 Admin

MARA nyingi utasikia mchezaji wa kandanda kafunga hat-trick, yaani mabao matatu katika mchezo, lakini mashabiki wengi na hata baadhi ya waandishi wa habari za michezo

Read More
Habari

Netanyahu kuitisha baraza la mawaziri la usalama jioni ya leo

July 31, 2024 Admin

Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu atakutana na baraza la mawaziri la usalama leo, ofisi yake inatangaza. Mkutano huo unakuja kufuatia mauaji ya maafisa wakuu wa Hezbollah

Read More
Habari

SERIKALI KUJENGA KITUO CHA KUREJELEZA TAKA DODOMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

July 31, 2024 Admin

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imejipanga kujenga kituo cha kurejeleza taka za plastiki pamoja na kuhifadhi na kuchambua taka ngumu kwa ajili

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 10 11 12 … 315 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.