Kipunguni wataka ahadi malipo ya fidia itekelezwe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wakazi wa Mtaa wa Kipunguni wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wameiomba serikali kutekeleza ahadi waliyoitoa ya kuwalipa fidia Agosti mwaka huu. Wakazi hao wamesema wamesubiri fidia hizo kwa muda mrefu tangu walipoanza kufanyiwa tathmini mwaka 1997 hali inayosababisha kushindwa kuendeleza makazi yao…

Read More

Hukumu kesi ya Milembe yaahirishwa, sababu yatajwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji inayowakabili washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), iliyopangwa kutolewa leo imeahirishwa hadi Agosti 23, 2024. Wakati inaahirishwa si washtakiwa wala mawakili wapande zote waliokuwepo mahakamani saa tatu asubuhi ya leo, Julai 19, 2024, muda uliokuwa umepangwa. Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Meritho Ukongoji akizungumza kwa simu na Mwananchi amesema kesi…

Read More

'Sheria Inapaswa Kuwalinda Wanawake na Wasichana, Sio Kuwahalifu' – Masuala ya Ulimwenguni

na CIVICUS Alhamisi, Julai 18, 2024 Inter Press Service Jul 18 (IPS) – CIVICUS inajadili haki za uavyaji mimba nchini Brazili na Guacira Oliveira, mkurugenzi wa Kituo cha Wanawake cha Mafunzo na Ushauri (CFEMEA). CFEMEA ni shirika linalopinga ubaguzi wa rangi ambalo linatetea haki za wanawake, matunzo ya pamoja na kujitunza na kufuatilia maendeleo katika…

Read More