Kipunguni wataka ahadi malipo ya fidia itekelezwe

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Wakazi wa Mtaa wa Kipunguni wanaotakiwa kuhama kupisha upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wameiomba serikali kutekeleza ahadi waliyoitoa ya kuwalipa fidia Agosti mwaka huu. Wakazi hao wamesema wamesubiri fidia hizo kwa muda mrefu tangu walipoanza kufanyiwa tathmini mwaka 1997 hali inayosababisha kushindwa kuendeleza makazi yao…

Read More

Hukumu kesi ya Milembe yaahirishwa, sababu yatajwa

Geita. Hukumu ya kesi ya mauaji inayowakabili washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua Milembe Suleman (43), iliyopangwa kutolewa leo imeahirishwa hadi Agosti 23, 2024. Wakati inaahirishwa si washtakiwa wala mawakili wapande zote waliokuwepo mahakamani saa tatu asubuhi ya leo, Julai 19, 2024, muda uliokuwa umepangwa. Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Meritho Ukongoji akizungumza kwa simu na Mwananchi amesema kesi…

Read More