Tume ya haki za binadamu yafuatilia haki ya wafanyakazi kwenye kilimo Njombe “Lengo uwekezaji usiwe na madhara kwa binadamu”

Ili kulinda na kuhakikisha shughuli za uwekezaji zinaendelea bila kuwa na madhara kwa binadamu,tume ya haki za binadamu chini wizara ya katiba na sheria imefika na kufuatilia namna wawekezaji kwenye sekta ya kilimo mkoani Njombe wanavyo jali sera ya haki za binadamu kwenye maeneo yao ya uwekezaji. Dkt.Thomas Masanja ni kamishna wa tume ya haki…

Read More

Wafanyabiashara hakikisheni mnazingatia sheria ya alama za bidhaa

Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa amewataka wafanyabiashara kuhakikisha wanazingatia sheria ya alama za bidhaa ya mwaka 1993, iliyofanyiwa marekebisho inayokataza kuingiza, kuuza na kuhifadhi bidhaa bandia kwani adhabu yake ni kifungo na faini,” Akisoma maagizo manne katika hotuba ya Waziri Mkuu leo Julai 18 ukumbi wa Milimani City jijini Dar es Salaam kwa wadau mbalimbali wa…

Read More

Familia zapaza sauti wanne wakidaiwa kutekwa, polisi wahusishwa

Dar es Salaam. Matukio ya watu kutoweka katika mazingira yenye kutatanisha huku askari polisi wakihusishwa kuwashikilia yanaendelea kushika kasi nchini. Taarifa mpya zilizolifikia Mwananchi zinadai kuwa vijana wanne wilayani Temeke, Dar es Salaam na mkazi mmoja mkoani Geita wametoweka na jitihada za kuwatafuta hazijazaa matunda kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa. Taarifa zinasema vijana Ramadhan…

Read More

Hatima kesi ya mauaji ya Milembe wa GGM kujulikana leo

Geita. Hatma ya washtakiwa wanne wanaodaiwa kumuua aliyekuwa mfanyakazi wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), Milembe Suleman (43) kwa kumkata na kitu chenye ncha kali itajulikana leo Julai 19, 2024. Jaji Mfawidhi Kelvin Mhina anatarajia kutoa hukumu ya kesi hiyo namba 39 ya mwaka 2023 baada ya kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili. Washtakiwa…

Read More

Mwanamke adui wa mwanamke- ripoti

Dar es Salaam. Wakati kelele nyingi za ukatili dhidi ya wanawake zimekuwa zikielekezwa kwa wanaume, utafiti mpya umebaini adui mwingine wa wanawake. Hawa ni wanawake wanaowafanyia ukatili wanawake wenzao kwa kuendeleza mila na desturi potofu. Hata hivyo, ripoti hiyo inaonyesha vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake vinavyofanywa na wenyewe kwa wenyewe havichukuliwi uzito, kwa kile…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE KUBADILISHA MAISHA YA WANANCHI WA KIBAKWE KWA KUJA NA MKAKATI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora na Mbunge wa Kibakwe, Mhe. George Simbachawene amewataka wananchi wa Kibakwe kuendesha kilimo cha biashara kwa kutumia miundombinu ya umeme iliyopo huku akiwaahidi kuwaletea mradi mkubwa wa kimkakati wa umwagiliaji. Mhe. Simbachawene ametoa kauli hiyo leo wakati akizungumza na wananchi kwa…

Read More