MAN CITY WASHUSHA KIFAA KIPYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

  Manchester City imethibitisha kumsajili winga wa Kibrazil, Savinho kwa ada ya pauni milioni 21 itakayofikia milioni 33.6 pamoja na nyongeza akitokea Troyes ya Ufaransa. Savinho (20) ambaye msimu uliopita alikuwa kwa mkopo Girona ya Uhispania amesaini mkataba wa miaka mitano mpaka Juni 2029 na anakuwa usajili wa kwanza wa Man City majira haya ya…

Read More

Unafuu gharama za tiba, dawa za saratani waja Tanzania

Dar es Salaam. Tanzania imeingia makubaliano na Taasisi ya Bioventure for Global Health (BVGH) ya nchini Marekani itakayosaidia kutoa mafunzo kwa wataalamu wa tiba mionzi ikiwemo upatikanaji wa dawa kwa gharama nafuu. Mradi utatoa fursa kwa ajili ya tafiti katika huduma za saratani, kuimarisha miundombinu na kuwezesha upatikanaji wa dawa za saratani kwa gharama nafuu…

Read More

Sh100 milioni za marehemu zampeleka jela miaka mitano

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu Mkazi wa Gerezani, Samweli Gombo kifungo cha miaka mitamo jela baada ya kupatikana na hatia ya wizi wa fedha kiasi Sh102.9 milioni. Fedha hizi alizoiba kwenye akaunti ya benki ya NMB ya marehemu baba yake wa kambo, Staniford Gombo. Pia, Mahakama hiyo imemuamuru…

Read More

UDSM kujenga matawi mawili mkoani Lindi

Lindi. Ili kupanua wigo na upatikanaji wa Elimu ya juu nchini hususani taaluma ya kilimo, Chuo Kikuu cha Dar es Saaam (Udsm) kimeamua kujenga matawi mkoani Lindi kwa ajili ya Kilimo. Kimesema tawi moja litatumika kama kituo cha utafiti wilayani Ruangwa katika Kijiji cha Likunja huku tawi lingine likijengwa Manispaa ya Lindi katika eneo la…

Read More

Mwanza waliamsha mapema Simba Day

WANACHAMA wa Simba Mkoa wa Mwanza wameanza mapema kujipanga kwa safari ya kwenda jijini Dar es Salaam kuiunga mkono timu yao katika tamasha la Simba Day litakalofanyika Agosti 3, mwaka huu. Katika kuhakikisha mambo yanakwenda vizuri, viongozi wa klabu hiyo mkoani hapa kwa nyakati tofauti walikutana na viongozi wa matawi mwishoni mwa wiki iliyopita na…

Read More

Elimu bidhaa bandia itolewe kuanzia ngazi ya mitaa

Dar es Salaam. Serikali imewataka wazalishaji nchini kuendelea kutoa elimu ya bidhaa bandia hadi ngazi ya mitaa kwa kuwa huko ndiko walaji wengi wapo. Wito huo umetolewa leo Alhamisi, Julai 18, 2024  na  Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe  kwenye maadhimisho ya kitaifa ya kudhibibiti bidhaa bandia duniani aliyemwakilisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa….

Read More

Mnigeria atua Fountain Gate | Mwanaspoti

Fountain Gate imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa kipa wa Tabora United raia wa Nigeria, John Noble kwa mkataba wa mwaka mmoja. Kipa huyo aliyejiunga na kikosi hicho Julai 31, mwaka jana akitokea Klabu ya Enyimba ya kwao Nigeria, amemaliza mkataba wake na Tabora United huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya na kuifanya Fountain Gate kutumia fursa ya…

Read More