Polisi yapokea vibanda maalumu kuboresha usalama barabarani

Dar es Salaam. Katika kuimarisha usalama barabarani, Kampuni ya Bima ya Milembe imekabidhi vibanda vitano maalumu vilivyoundwa kwa ajili ya askari wa usalama barabarani wa Jeshi la Polisi katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay. Wakati wa hafla ya makabidhiano hayo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Bima ya Milembe, Muganyizi Tibaijuka amesisitiza dhamira ya kampuni…

Read More

Mauya aukubali mziki wa Singida BS

KIUNGO mkabaji wa Singida Black Stars, Zawadi Mauya  amesema kwa usajili uliofanywa na timu hiyo, anaamini ushindani utakuwa mgumu kuanzia kwa wachezaji wenyewe hadi timu pinzani. Mauya amejiunga na timu hiyo, akitokea Yanga ambayo aliitumikia kwa misimu minne, alisema maisha ya soka ni popote, kikubwa anajipanga kuhakikisha anakuwa msaada katika majukumu yake mapya. “Utofauti ni…

Read More

Vikwazo saba vinavyowakwamisha Watanzania kuwekeza

Mwanza. Ukosefu wa mitaji, elimu, ardhi, uwoga, kodi kubwa ya uingizaji vifaa kutoka nje ya nchi, ukosefu wa mbinu, na uwepo wa dhana potofu kuwa wawekezaji ni lazima watoke nje ya nchi, ni miongoni mwa vikwazo vinavyowakwamisha wazawa kuwekeza nchini. Sababu hizo zimetajwa leo Julai 18, 2024 na Mkurugenzi na Mmiliki wa Kiwanda cha Joasamwe…

Read More

Kibu azua utata Simba | Mwanaspoti

WAKATI Willy Onana na nyota mpya aliyetambulishwa juzi, Awesu Awesu jana walipaa kwenda kuongeza mzuka katika kambi ya Simba iliyopo, Ismailia Misri, nyota wa timu hiyo, Kibu Denis amezua utata. Awesu na Onana ni kati ya wachezaji waliondoka nchini jana sambamba na baadhi ya viongozi kwenda Misri kuungana na wachezaji wengine wanaoendelea kujifua chini ya…

Read More

179 mbaroni Mwanza, yumo anayedaiwa kumuua mwanamke

Mwanza. Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linawashikilia watu 179 akiwemo Mkazi wa Nyakasela Kata ya Nyakariro Sengerema mkoani Mwanza, Lupande Ng’wani (43) anayedaiwa kumuua Mwajuma Yugele kwa kumpiga na kitu kizito kichwani. Taarifa hiyo imetolewa leo Alhamisi Julai 18, 2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wibroad Mutafungwa, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari….

Read More

MAWAKALA WA FORODHA WANOLEWA, WAASWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI

Meneja uwezeshaji biashara Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Aminiel Malisa akizungumza wakati wa kufungua mafunzo ya mawakala wa Forodha iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 2024.  Makamu Mwenyekiti TAFFA Waheed Saudin akizungumza mara baada ya kufunguliwa mafunzo ya mawakala wa Forodha yaliyofanyika jijini Dar es Salaam leo Julai 2024.  MENEJA uwezeshaji biashara Mamlaka ya Mapato Tanzania…

Read More