
Ursula von der Leyen achaguliwa tena – DW – 18.07.2024
Ameahidi pia kuendelea na mpango wa Ulaya juu utunzaji mazingira pamoja na kupunguza mzigo wake kwa viwanda. Wabunge wa Bunge la Ulaya waliunga mkono hoja ya von der Leyen kugombea muhula mwingine wa miaka mitano katika usukani wa Ulaya, Baraza kuu la utendaji la Muungano kwa kura 401 zilizomuunga mkono na 284 kupmpiga katika kura ya…