Biashara yazidi kuimarika mpaka wa Tunduma

Dar es Salaam. Mpaka wa Tunduma- Nakonde umetajwa kuwa kichocheo kikubwa cha biashara kati ya Tanzania, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), huku takwimu zikionyesha biashara katika eneo hilo ikiongezeka maradufu. Mafanikio hayo yameonekana ikiwa imepita miezi tisa baada ya Tanzania na Zambia kukubaliana kuzifanyia kazi changamoto nane kati ya 24 za kibishara,…

Read More

16 wahofiwa kuambukizwa kipindupindu Morogoro

Morogoro. Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wanahofia kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu huku wagonjwa 16 wanaodhaniwa kuwa na ugonjwa huo wakilazwa katika Kituo cha Afya cha Sabasaba. Mganga Mkuu wa kituo hicho kilichopo Manispaa ya Morogoro ambaye hakuwa tayari kutaja jina lake, amesema Julai 16 na 17, 2024, hospitali hiyo imepokea wagonjwa wa…

Read More

TATHIMINI UJENZI WA BARABARA KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA YA KISASA YA ‘ECOROADS’ YALETA MATUMAINI

Na. Catherine Sungura,CHAMWINO Teknolojia ya kisasa ya ujenzi wa barabara kwa kuboresha udongo kabla ya kuweka lami juu ijulikanayo kama ‘Ecoroads’ imeonesha matumaini katika miezi sita ya majaribio. Hayo yameelezwa na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-TAMISEMI anayeshughulikia miundombinu Mhandisi Rogatus Mativila mara baada ya kutembelea Barabara zilizojengwa na teknolojia hiyo yenye urefu wa Km….

Read More

Mtoto aliyefariki kwenye ajali basi na lori atambuliwa

Tabora. Siku moja baada ya kutokea kwa ajali ya basi la Happy Nation iliyotokea katika Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora na kusababisha kifo cha mtoto mmoja, tayari mtoto huyo, Yumwema Charles (4) ametambuliwa na ndugu zake. Ajali hiyo ilitokea Julai 17, 2024 alfajiri baada ya basi hilo kuligonga lori linalomilikiwa na Kampuni ya Dangote lililokuwa…

Read More