Vituo vya afya vimeelemewa mno huko Gaza – DW – 18.07.2024

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema kuwa hospitali yake ndogo katika mji wa Rafah imekuwa ikipokea idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji kulazwa hospitalini kutokana na majeraha yanayosababishwa na mashambulizi. Shirika hilo la kimataifa limesema kuwa hospitali nyingi katika eneo hilo zimeelemewa, jambo ambalo litapelekea hivi karibuni madaktari kulazimika kufanya “maamuzi magumu” ya kuchagua…

Read More

Ukatili wa wanawake kwa wanawake tishio kanda ya ziwa

Dar es Salaam. Wakati kelele nyingi za ukatili dhidi ya wanawake zimekuwa zikielekezwa kwa wanaume, utafiti umebaini wanawake kwa wanawake pia hufanyiana ukatili kwa kuendeleza mila na desturi potofu. Hata hivyo,  ripoti hiyo inaonyesha vitendo vya ukatili dhidi ya wanawake vinavyofanywa na wenyewe kwa wenyewe havichukuliwi uzito,  kwa kile kinachoaminika ni kuendeleza mila na tamaduni…

Read More

OUT YAADHIMISHA MIAKA 30 TANGU KUANZISHWA KWAKE

Na Mwandishi Wetu CHUO Kikuu Huria (OUT), kinaadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake mwaka huu ambapo maadhimisho hayo kilele chake kitafanyika kwenye Mahafali ya 43 ya Chuo Novemba mwaka huu, Mkoani Kigoma. Maadhimisho hayo yamekwenda na kauli mbiu isemayo, ‘Miaka 30 ya kufungua fursa endelevu za elimu kwa njia ya masafa huria,’. Akizungumza wakati wa…

Read More

TPSF yatoa mbinu kuepuka kikosi kazi ukusanyaji kodi TRA

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Angelina Ngalula amependekeza kuwapo kwa mpango mkakati wa miaka mitano wa ukusanyaji kodi ili kujua kama nchi itapata wapi kodi badala ya kusubiri miezi michache kabla ya bajeti. Ametoa kauli hiyo leo Alhamisi, Julai 18, 2024 wakati akiwasilisha maoni yake katika kikao kilichofanyika baina ya viongozi…

Read More

CCM YAENDELEA KUSIMIKA MATAWI YAKE DAR

Katibu wa NEC -Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla amefungua Jengo la Ofisi za CCM Tawi la Makumbusho. CPA Makalla akifungua Tawi la CCM amesema; nawapongeza wanaMakumbusho hili ni Tawi la Mfano hongereni ni la Kisasa na sasa litakuwa mfano kwa Mkoa wa Dar es salam lakini Tawi hili la Makumbusho…

Read More

296,410 kunufaika huduma ya mtandao Mwanza

Sengerema. Wakazi 296,410 mkoani Mwanza, watanufaika na mawasiliano ya simu baada ya Serikali kujenga minara 17 itakayoongeza mawasiliano kwenye kata 16 na vijiji 52 vilivyoko ndani ya mkoa huo. Hayo yamesemwa leo Alhamisi Julai 18, 2024 na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda alipokuwa akisoma taarifa ya mkoa kwenye ziara ya Waziri wa Habari,…

Read More

WAHITIMU WASHAURIWA KUJENGA TABIA YA KUJIAJIRI

WAHITIMU nchini wameshauriwa kujenga tabia kujiajiri pindi wanavyomaliza vyuo mbalimbali ili kusaidia kupunguza tatizo la ajira nchini. Rai hiyo imetolewa mapema leo jijini Dar es Salaam na na Mwenyeki wa Kamati ya Ufuatiliaji na ujifunzaji wanafunzi kutoka Chuo cha Teknolojia cha Dar es Salaam (DIT), Dkt . Ambele Mtafya,wakati wa kuchukua maoni kutoka kwa wahitimu…

Read More

SMZ yaja na ‘ada ya nyongeza’ elimu ya juu

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imeanzisha mfumo wa malipo ya ada ya nyongeza (Top up tuition fees) ambayo itawasaidia wanafunzi kukamilisha gharama za masomo vyuoni kwa kufidia asilimia iliyopungua baada ya kupata mikopo. Pia, Serikali imeimarisha huduma kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, ikiwemo bima ya afya na kuongeza fedha za matumizi kutoka Sh1.3…

Read More