UONGOZI WA YOUNG AFRICANS SC WAKABIDHI VIFAA NA MAHITAJI KWA HOSPITALI YA RUFAA TEMEKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Uongozi wa Klabu ya Young Africans SC kwa kushirikiana na GSM Foundation, SportPesa, na Benki ya CRDB umekabidhi vifaa na mahitaji mbalimbali kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Temeke. Tukio hilo lilifanyika leo katika hospitali hiyo ambapo vifaa vilikabidhiwa kwa Mkurugenzi wa Hospitali, Dr. Joseph Kimaro. Hii ni sehemu ya jitihada za klabu hiyo…

Read More

Kikapu Singida wafundishwa | Mwanaspoti

KOCHA msaidizi wa timu ya taifa ya kikapu kwa wanawake wenye ya umri wa miaka 16, Nelious Mbungeni amesema  mafunzo ya kikapu waliyoyatoa mkoani Singida yalimalizika kwa mafanikio. Nelious aliliambia Mwanaspoti kwamba, wasichana 60 wenye umri wa kati ya miaka 10-18 walijitokeza kupata mafunzo  katika Uwanja wa Karumeru uliopo wilayani Itigi. “Idadi hiyo ni kubwa…

Read More

Kiongozi wa Hamas Ismail Haniyeh auwawa Iran – DW – 31.07.2024

Hadi sasa hakuna aliyekiri mauaji hayo, vidole vyote vinaelekezwa kwa Israel ambayo imebandika kwenye ukurasa wake wa Facebook picha ya Haniyeh ikiwa na maneno “ameangamizwa”.  Mengi zaidi yatakuja kufahamika baadaye kuhusu mashambulizi yaliyomuua mmojawapo wa viongozi wakubwa wa mapambano dhidi ya ukaliaji wa Israel kwenye ardhi ya Palestina, ambaye mataifa kadhaa ya Magharibi yanamtambua kama…

Read More

UDSM Outsiders vichapo kiduchu | Mwanaspoti

Wakati Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikiendelea katika Uwanja wa Donbosco Osterbay, timu ya UDSM Outsiders inaongoza kwa kufungwa pointi chache. UDSM inayoshika nafasi ya pili katika msimamo wa BDL imefungwa pointi 821 ikifuatiwa na Dar City iliyofungwa 987. Timu zingine ni ABC iliyofugwa pointi 893, JKT ABC (893), Savio (1021)…

Read More

Rehema: Ngumi hadi u-dj, konda, bodaboda

KATIKA mfululizo wa Mwanaspoti kukuletea simulizi tamu za mabondia wa ngumi za kulipwa, tumefunga safari hadi Bagamoyo mkoani Pwani kukutana na bondia Rehema Abdallah wa Sharifa Boxing Gym. Siyo bondia mwenye jina katika mchezo wa ngumi lakini ndiyo bondia anayeshikilia rekodi ya kucheza mapambano mengi bila ya kupoteza kwa lugha ya majahazi tunasema ‘undefeated’ Imetuchukua…

Read More

Trans Man Anaziomba Serikali Kuishinikiza Uganda Kufuta Sheria ya Kupambana na LGBT+ – Masuala ya Ulimwenguni

Jay Mulucha akizungumza katika Kongamano la 25 la Kimataifa la UKIMWI mjini Munich. Credit: Steve Forrest/IAS na Ed Holt (munich) Jumatano, Julai 31, 2024 Inter Press Service MUNICH, Julai 31 (IPS) – Jay Mulucha, Mkurugenzi Mtendaji wa FEM Alliance Uganda, alitoa ombi la dhati kwa serikali duniani kote kushinikiza wabunge katika nchi yake kubadili sheria…

Read More

ETHIOPIA KUUZA SARAFU YAKE SOKO HURIA ILI KUPATA MIKOPO – MWANAHARAKATI MZALENDO

  #UCHUMI Serikali ya Ethiopia imekubali sarafu yake kuuzwa katika soko huria badala ya kiwango kilichowekwa kama sehemu ya mageuzi yaliyolenga kupata mikopo kutoka kwa wakopeshaji wa kimataifa ili kuimarisha uchumi wake. Thamani ya birr dhidi ya dola ilishuka kwa asilimia 30% baada ya kuruhusiwa kuelekea Jumatatu, ilithibitisha benki kubwa zaidi nchini humo, Commercial Bank…

Read More