Taharuki makaburi zaidi ya 30 yakivunjwa Mbozi

Songwe. Makaburi zaidi ya 30 katika Mtaa wa Majengo, Kata ya Hasanga wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, yamevunjwa kisha kung’olewa misalaba na urembo wa kwenye malumalu. Mwananchi limefika katika makaburi hayo wakati wananchi wakifanya usafi kwenye makaburi hayo na kushuhudia uharibifu mkubwa katika makaburi hayo yaliyopo eneo la kwa Mzungu. Akizungumzia hilo leo Alhamisi Julai…

Read More

NCAA ENDELEENI KUBUNI MAZAO MAPYA YA UTALII NA KUYATANGAZA. – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na utalii anayeshughulikia utalii -Nkoba Mabula ameielekeza Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) kuendelea kubuni mazao mapya ya utalii ili kuwavutia watalii wengi zaidi wanaotembeela nchi yetu. Mabula ametoa maelekezo hayo baada ya kupokea wasilisho kuhusu hali ya utalii katika hifadhi ya Ngorongoro, uboreshaji wa huduma…

Read More

Maandamano ya wanafunzi wa Bangladesh, mashambulizi ya Sudan Kusini yanaendelea, fursa inagonga kwa hatua ya hali ya hewa barani Afrika – Masuala ya Ulimwenguni

Maandamano hayo yalianza wiki mbili zilizopita, na wanafunzi wamekuwa wakizozana na wenzao wanaoiunga mkono serikali na polisi katika mji mkuu, Dhaka, na miji mingine. Serikali ya Bangladesh ilifunga vyuo vikuu vyote vya umma na vya kibinafsi baada ya maandamano hayo kuwa mbaya siku ya Jumanne, huku watu sita wakiuawa na wengine wengi kujeruhiwa, kulingana na…

Read More

Bosi TRA atoa mwelekeo mpya, awatahadharisha wafanyabiashara

Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda amewaahidi viongozi wa sekta binafsi ushirikiano, kuboresha huduma kwa wateja, kushughulikia watendaji wanaochafua taswira ya TRA, kupanua wigo wa kodi na kuweka kodi himilivu pamoja na kufanya maboresho mfumo wa kodi. Mbali na hayo, amesema uteuzi wake hautabadilisha kitu chochote katika utendaji…

Read More

Vituo vya afya vimeelewa mno huko Gaza – DW – 18.07.2024

Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imesema kuwa hospitali yake ndogo katika mji wa Rafah imekuwa ikipokea idadi kubwa ya wagonjwa wanaohitaji kulazwa hospitalini kutokana na majeraha yanayosababishwa na mashambulizi. Shirika hilo la kimataifa limesema kuwa hospitali nyingi katika eneo hilo zimeelemewa, jambo ambalo litapelekea hivi karibuni madaktari kulazimika kufanya “maamuzi magumu” ya kuchagua…

Read More