
DMI yawaasa Wasichana kujiunga kada ya Ubaharia
Kaimu Mkuu wa Chuo cha DMI Dkt.Wilfred Johnson Kileo akizungumza na Waandishi wa Habari kwenye Maonesho ya ya Tano Wiki ya Elimu ya Juu inayofanyika Viwanja vya Maisara Zanzibar. Baadhi ya wanawake wanafunzi a wananchi wakiwa kwenye Banda la DMI katika Maonesho yaTano ya Elimu Juu Zanzibar. *Yasema hakuna kizuizi cha kufanya mwanamke kuwa baharia…