TUME YA USHINDANI YATAKA UBORA WA BIDHAA,YATOA RAI KWA WATANZANIA

    Na Mwandishi Wetu TUME ya Ushindani  (FCC) imewahakikishia  wawekezaji kutoka nje ya nchi  wanaokuja  nchini Tanzania kuwekeza  kwani kuna mazingira salama ya uwekezaji pamoja na kufanyabiashara. Hayo yamesemwa  jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) William Erio alipokuwa akizungumza  na waandishi wa habari kuhusu Wiki ya Kudhibiti  bidhaa…

Read More

ACT Wazalendo kusajili wanachama milioni 10 ziara mikoa 22

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimejipanga kufanya mambo matatu katika ziara yake ya mikoa 22 Tanzania Bara ikiwemo kuhamasisha wananchi kushiriki kupiga kura na kuzilinda katika vituo vya kupigia kura katika chaguzi zinazokuja. Sambamba na hilo, wamejipanga kusikiliza kero za wananchi na dhumuni lingine ni kusajili wanachama milioni 10 katika ziara hiyo inayotarajiwa…

Read More

WAZIRI WA HABARI VIJANA UTAMADUNI NA MICHEZO ATEMBELEA JENGO LA ZBC RADIO RAHALEO ZANZIBAR

  Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita akifuatana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji (ZBC) Ramadhan Bukini wakati alipofanya Ziara kutembelea Jengo la Utangazaji la ZBC Radio lililofanyiwa Ukarabati Rahaleo Mjini Zanzibar. Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Tabia Maulid Mwita akipatiwa maelezo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la…

Read More

Taasisi yaja na matembezi kudumisha utulivu Tanzania

Dar es Salaam. Taasisi ya Utulivu Space imejipanga kueneza ujumbe wa amani na umoja miongoni mwa Watanzania kupitia matembezi maalumu yatakayofanyika Jumamosi Julai 20, 2024. Katibu wa taasisi hiyo, Dk Mboni Dk Kibelloh amesema jana Jumanne Julai 16, 2024 kuwa lengo la matembezi hayo ni njia ya kurithisha vijana wa rika mbalimbali kufahamu chanzo cha…

Read More

Fidia yaibua hofu kwa wananchi utekelezaji miradi

Unguja. Wakati Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ikiendelea kutekeleza miradi ya maendeleo, ushirikishwaji hafifu wa wananchi na ulipaji fidia wa kusuasua ni miongoni mambo yanayolalamikiwa. Baadhi ya miradi iliyotekelezwa na wananchi na kutakiwa kufidiwa, wanalalamika ulipaji umekuwa wa kusuasua. Baadhi ya miradi inayolalamikiwa utoaji fidia ulichelewa ni  ujenzi wa barabara za mjini zenye urefu…

Read More

Wafanyabiashara Soko la Magomeni walalama kuondolewa meza zao

Mwanza. Wafanyabiashara wadogo katika Soko la Magomeni lililopo eneo la Kirumba, Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, wameulalamikia uongozi wa manispaa hiyo kwa kuondoa meza zao walizokuwa wakitumia kufanyia biashara bila kuwapa taarifa yoyote. Wakizungumza na Mwananchi Digital  leo Jumatano Julai 17, 2024, baada ya uongozi wa manispaa hiyo kufika sokoni hapo na kuanza kuziondoa baadhi…

Read More

WATAWA WATATU WALIOFARIKI KWA AJALI WAZIKWA NDANDA,RAIS WA TEC ALIA NA MASHIMO KWENYE BARABARA ZA KUSINI.

Elizaberth Msagula,Lindi Miili ya Watawa watatu wa Shirika la Mtakatifu Benedikto Abasia ya Ndanda Jimbo Katoliki la Mtwara, waliofariki dunia kwa ajali ya gari ijumaa Julai 12, 2024, imezikwa leo Julai 17,2024 katika makaburi ya Watawa huko Abasia Ndanda huku Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania Tec Mhashamu Wolfgang Pisa akipaza sauti juu ya…

Read More

RAIS SAMIA AHUTUBIA WANANCHI WA MKOA WA RUKWA KWENYE UWANJA WA NELSON MANDELA MJINI SUMBAWANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia Wananchi wa Mkoa wa Rukwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela, Sumbawanga tarehe 17 Julai, 2024.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Nelson Mandela,…

Read More