Yanga kuwafuata Wajerumani Sauzi kesho

KIKOSI cha Yanga kinatarajiwa kuondoka nchini kesho Alhamisi kwenda kuweka kambi ya wiki kama mbili katika jiji la Mpumalanga, Afrika Kusini. Kama ambavyo awali Mwanaspoti iliporipoti, Yanga kupitia Msemaji wake Ally Kamwe amethibitisha safari hiyo ambapo kikosi hicho kitaondoka kesho saa 7 mchana. Kamwe amesema, Yanga ikiwa huko itaweka kambi fupi pamoja na kucheza mechi…

Read More

Ukatili watoto washtua wazazi, wavamia shule

Dar es Salaam. Baada ya kusambaa taarifa mitandaoni za mtoto Malick Hashim (6), mkazi wa Goba-Kinzudi kujeruhiwa na kitu chenye ncha kali shingoni na madai ya kuonekana sare za shule za mtoto zikiwa na damu, taharuki imeibuka kwa wakazi wa Mbande, baadhi ya wazazi wamevamia shuleni kuchukua watoto wao. Taharuki kwa wakazi wa Mbande, wilayani…

Read More

Kupotea kwa muuguzi KCMC bado giza nene

Moshi. Zikiwa zimepita siku 16  tangu kutoweka kwa muuguzi wa Hospitali ya KCMC, Lenga Masunga (38), Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema  bado wanaendelea na uchunguzi. Muuguzi huyo wa idara ya masikio, pua na koo anadaiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha Julai 2, mwaka huu nyumbani kwake Mtaa wa Rau Pangaleni, Wilaya…

Read More

Mwabukusi ruksa kupinga kuenguliwa kugombea urais

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemruhusu wakili Boniface Mwabukusi kufungua shauri la marejeo ya uamuzi uliomwengua kwenye orodha ya wagombea urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Hata hivyo, imekataa ombi la kusimamisha mchakato wa uchaguzi huo ambao sasa utaendelea kama ulivyokuwa. Uamuzi huo umetolewa leo, Julai 17, 2024 na…

Read More

Watafiti waunganishwa na waandishi wa habari kuinufaisha jamii

Rais wa Tanzania Health Summit, Dkt Omary Chilo (kulia) akipeana  mkono na Mkurugenzi wa ResearchCom, Dkt. Syriacus Buguzi baada kumaliza kuzindua ushirkiano wa mawasiliano ya kisayansi wakati wa mkutano wa mawasiliano ya kisayansi  utakaowawezesha wanasayansi kuwasiliana kwa ufanisi. Mkutano huo umefanyika leo katika ukumbi wa Mikutano wa Julias Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia…

Read More

Ushindi upo wa kutosha, cheza Expanse kasino

Expanse Tournament bado inaendelea, huenda leo ukaibukamshindi wa Zaidi ya 2,500,000/= cheza kasino ya mtandaonihuku ukivuna mabonasi ya kasino kibao. Jisajili hapa kishaanza safari ya ushindi. Mwisho wa promosheni ya Shindano la Expanse Kasino washindi 40, watagawiwa bonasi za kasino na pesa taslimukwenye kaunti zao za Meridianbet. ZAWADI ZIKOJE? Expanse Tournament inatoa mgao wa mamilioni…

Read More

Posta kubadili  mfumo wa manunuzi Kariakoo

Dar es Salaam. Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mohammed Khamis Abdulla, ameliagiza Shirika la Posta Tanzania kushirikiana na AzamPesa kuweka mifumo isiyoruhusu matumizi ya fedha taslimu kwa wateja wote wanaofika Kariakoo kufanya manunuzi. Amesema endapo wateja watatumia mifumo ya kieletroniki kufanya manunuzi na kuepuka fedha taslimu, Serikali itapata kodi stahiki…

Read More