RC TANGA ATOA MAAGIZO KWA WAKUU WA WILAYA

 Raisa Said,Tanga MKUU  wa Mkoa wa Tanga Balozi Dkt. Batilda Buriani amewataka wakuu wa wilaya za mkoa huo  kufanya ukaguzi wa mifumo ya  ukusanyaji wa mapato  kila baada ya wiki  katika halmashauri zao ili kuziba mianya yote ya upotevu wa fedha za Serikali zinazopatikana kupitia vyanzo  mbalimbali. Agizo hilo limetolewa na Mkuu huyo wa mkoa …

Read More

Greenwood mambo freshi Marseille | Mwanaspoti

MARSEILLE, UFARANSA:KLABU ya Marseille imefikia makubaliano na Mason Greenwood kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji huyo kutoka kwa miamba ya Ligi Kuu England, Manchester United. Klabu hizo mbili zilishafikia makubaliano ya ada ya awali ya uhamisho ya Pauni 27 milioni pamoja na Pauni 3.2 milioni za ziada kwa ajili ya kumsajili Greenwood, lakini zilihitaji pia ridhaa…

Read More

SHULE 25 ZA SEKONDARI ZA WASICHANA ZA MIKOA ZIMEKAMILIKA

OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Shule 25 kati ya Shule 26 za Wasichana za Sayansi za Mikoa zinazojengwa kupitia mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP) zimekamilika na zimeshapokea wanafunzi. Hata hivyo, ujenzi wa shule iliyosalia inayojengwa Mkoa wa Morogoro upo mbioni…

Read More

DKT JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI JENGO LA WMA, ATOA MAAGIZO KUFANYIKA UKAFUZI MITA ZA UMEME

Na Janeth Raphael MichuziTv Waziri wa Viwanda na Biashara Dkt Suleiman Jafo ametoa Maagizo kwa Wakala wa vipimo Tanzania(WMA) kutembelea maeneo yote yanayotakiwa kufanywa ukaguzi hususani wa mita za umeme kabla hazijafika kwa mlaji ili kupima uthibiti wa mita hizo,kwa lengo la kuwapunguzia gharama wananchi na kuepuka kulipa gharama isiyo sahihi. Dkt Jafo ameyasema hayo…

Read More

Wadau wamshukia Nape kauli ya “ushindi nje ya boksi”

Mashambulizi hayo yametokana na video yake iliyosambaa akizungumza kwenye tukio moja mjini Bukoba, akimhakikishia ushindi Mbunge wa jimbo hilo, Steven Byabato, kuwa matokeo ya kura siyo lazima yawe ya kwenye sanduku la kura, bali inategemea nani anahesabu kura na kutangaza matokeo. Ingawa Nape kupitia video nyingine iliyosambaa baadaye aliomba radhi kutokana na kauli hiyo, akidai…

Read More

Baraza la Usalama lenye mgawanyiko linajadili maana ya mataifa mengi – Masuala ya Ulimwenguni

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi na Rais wa Baraza mwezi Julai, Sergey Lavrov aliishutumu Marekani kwa ubaguzi na kuendeleza “utaratibu unaozingatia sheria” ambao unatishia ushirikiano wa pande nyingi na sheria za kimataifa. Washington “inadai utiifu usio na shaka” kutoka kwa washirika wake, alisema, “hata kwa madhara ya maslahi yao ya kitaifa”. “Utawale Amerika,…

Read More

Heri ya uzee wa kina Chama, kuliko ubishoo wa wazawa!

NI kweli tunadanganywa. Na tunajua kabisa tunadanganywa na nyota wa kigeni wanaokuja kucheza soka la kulipwa hapa nchini. Tunajua wengi huwa na umri mkubwa zaidi ya ule uliopo katika pasipoti zao. Lakini tunamezea kwa vile hata wachezaji wazawa nao kamba nyingi. Wazawa nao wanatudanganya sana kwa kufeki umri. Kibaya zaidi, kuna baadhi ya wachezaji wanasaidiwa…

Read More