Na Mwandishi Wetu,Manyara. Bilionea David Mulokozi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited ametoa zawadi ya Bajaji mpya kwa Dereva wa
Month: July 2024

TABORA United msimu ujao itakuwa chini ya Kocha Mkenya, Francis Kimanzi ambaye muda wowote atatambulishwa. Kocha huyo wa zamani wa Tusker ya Kenya na timu

Chelsea wamekamilisha usajili wa mlinda mlango wa Denmark chini ya umri wa miaka 21 Filip Jörgensen kutoka Villarreal ya LaLiga. Mchezaji huyo mwenye umri wa

Theresia Mdee, mama mzazi wa Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee, alifariki dunia Jumanne, Julai 30, 2024, baada ya kuugua saratani ya shingo ya kizazi.

Kiongozi Mkuu wa Kundi la Hamas, Ismail Haniyeh amefariki dunia leo Julai 31, 2024 alipovaamiwa kwenye makazi yake mjini Tehran, Iran. Haniyeh ameuawa siku moja

*Sumbawanga, 30 Julai 2024* — TCB Benki inajivunia kutangaza mchango mkubwa wa vifaa vya ujenzi vyenye thamani ya milioni 50 za Kitanzania (TZS) kusaidia maendeleo

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, David Ouma amesema asilimia 70 kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya kuanza msimu mpya huku akidai kuwa 30 zilizobaki

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeimarisha nguvukazi kwenye sekta ya afya kwa kuongeza taasisi zinazotoa mafunzo ya afya na upatikanaji wa fursa za elimu

Aprili Mosi, 2022, Kanali mstaafu Abdulrahman Kinana, alichaguliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara. Nilifanikiwa kuzungumza na Kinana muda mfupi baada

Kasi ya kufumania nyavu ambayo imeanza kuonyeshwa na wachezaji wapya waliosajiliwa na timu tofauti za Ligi Kuu Bara kwenye mechi za maandalizi ya msimu mpya