
Dkt Tulia azindua tawi la Benki ya PBZ Mbeya, Awatahadharisha Wananchi Dhidi ya ‘Kausha Damu’
Na Mwandishi Wetu,Manyara. Bilionea David Mulokozi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited ametoa zawadi ya Bajaji mpya kwa Dereva wa bajaji Abel Rajabu ambaye ameweka picha ya Bilionea huyo kwenye bajaji yake baada ya kuvutiwa na kazi anazozifanya za kuwekeza kwenye viwanda na kusaidia jamii inayomzunguka kutokana na faida anayoipata….