
Rekodi kali za kuruka zinazosubiri kuvunjwa Olimpiki
WANAMICHEZO 10,500 watakuwa katika Jiji la Paris, Ufaransa kwa ajili ya michezo ya Olimpiki itakayofanyika kuanzia Julai 26 hadi Agosti 11, mwaka huu. Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano hayo makubwa ya michezo duniani washiriki kutoka zaidi ya nchi 200 watakuwa nusu wanaume na nusu wanawake ambao watashindana katika michezo 32. Kwa kawaida…