Tetemeko la ardhi lilivyozua taharuki Moshi

Moshi. Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa ‘Ritcher’ 4.6 lililopita usiku wa Julai 16, 2024, likitokea Nairobi, Kenya na kuzua taharuki kwa wakazi wa Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Hata hivyo inaelezwa kuwa mbali ya kuzua taharuki, tetemeko hilo halijasababisha madhara. Kwa mujibu wa Mjiolojia Mwandamizi kutoka Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania,…

Read More

Baraza la wadhamini Yanga matatani, Mwanasheria afunguka

Dar es Salaam. Yanga imepokea hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu hiyo kufuatia hukumu iliyotolewa Agosti 2, 2023 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.  Hukumu hiyo ambayo Mwananchi imeipata nakala yake inatokana na kesi ya msingi iliyofunguliwa Agosti 4, 2022 na walalamikaji Juma Ally na Geoffrey Mwaipopo, wakitaka kutotambulika kwa Baraza la…

Read More

SPOTI DOKTA: Majeraha ya Messi yapo hivi

USIKU wa Jumapili katika mchezo wa fainali ya mashindano ya Copa Amerika 2024 kwa mara nyingine tena Argentina ilifanikiwa kutwaa ubingwa huo baada ya kuifunga nchi ya Colombia bao 1-0. Mashindano hayo yaliyofanyika Marekani na fainali hiyo iliyochezwa jijini Miami kwenye Uwanja wa Hard Rock ililazimika kuongezwa dakika 30 za ziada mara baada ya kutoka…

Read More

Aisha Masaka atua Uingereza, kukipiga Brighton

KLABU ya BK Hacken ya Sweden imemuuza straika Mtanzania, Aisha Masaka kwa klabu ya Brighton inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake nchini Uingereza. Mapema leo Hacken imetoa taarifa kuwa imemuuza mchezaji huyo kujiunga na Brighton inayoshiriki Ligi ya Kuu ya Wanawake nchini Uingereza ambayo imemaliza nafasi ya tisa kwenye msimu uliopita. Straika huyo wa timu ya…

Read More

Nabi amtaka Mayele, amuita Kaizer Chiefs

Kocha mpya wa Kaizer Chiefs, Nasreddine Nabi ameuomba uongozi wake kuhakikisha unamsajili mshambuliaji wa Pyramids FC, Fiston Mayele kwa ajili ya kuimarisha safu yao ya ushambuliaji. Mtandao wa Kingfut wa Misri umefichua kuwa miongoni mwa mapendekezo ya mwanzo ambayo Nabi ameupa uongozi wake muda mfupi baada ya kujiunga na timu hiyo ni kuhakikisha Mayele anaichezea…

Read More

Wasaidizi wa kibinadamu wa Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya waomba msaada zaidi kwa Haiti – Masuala ya Ulimwenguni

“Wanachotaka Haiti zaidi ni amaniambayo itawaruhusu kurejea shuleni, kulima mashamba yao, kupata huduma za msingi kama vile kwenda hospitali,” Edem Wosornu, Mkurugenzi wa Operesheni na Utetezi katika ofisi ya Umoja wa Mataifa ya masuala ya kibinadamu, OCHAalisema katika taarifa ya pamoja iliyotolewa Jumatatu. Bi. Wosornu alitembelea Haiti pamoja na Lucia Elmi, Mkurugenzi wa Operesheni za…

Read More