Mchungaji Odero aonya wahubiri wanaozuia watu kutibiwa hospitali

Mwanza. Muhubiri maarufu wa Kenya, Ezekiel Odero, amewapinga baadhi ya manabii wanaozuia wagonjwa kutumia dawa na huduma za hospitali ili wapate miujiza na uponyaji kutoka kwao, huku akiwataka watumishi hao wahubiri neno la Mungu bila kupotosha. Mchungaji Odero ametoa kauli hiyo leo Jumatano Julai 17, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari jijini Mwanza. Amesema katika…

Read More

RAIS SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI CHUO CHA VETA RUKWA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi chuo cha VETA cha Mkoa wa Rukwa kilichopo katika kijiji cha Kashai, Kata ya Momoka, wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, leo tarehe 16 Julai, 2024, ikiwa ni sehemu ya ziara yake mkoani Rukwa. Akizungumza na wananchi waliohudhuria hafla hiyo mara…

Read More

Chadema: Hatutasusia uchaguzi, tutapambana kuwatoa madarakani

Dar es Salaam. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha mikutano yake ya Operesheni +255 Katiba Mpya kwenye Kanda ya Kaskazini kwa kauli nzito na maelekezo kwa wanachama wake. Jana, Chadema ilikuwa na mikutano mitatu jijini Arusha, ambapo wa kwanza ulifanyika eneo la Nasai kisha kuhitimisha mkutano mkubwa wa hadhara eneo la Muriet. Katika mkutano…

Read More

Mashambulizi ya Israel kusini, katikati mwa Gaza yawaua zaidi ya Wapalestina 60, wakiwemo katika ‘eneo salama’.

Mashambulizi ya anga ya Israel yaliwauwa zaidi ya Wapalestina 60 kusini na kati mwa Gaza usiku kucha na hadi Jumanne, ikiwa ni pamoja na moja iliyopiga “eneo salama” lililotangazwa na Israel lililojaa maelfu ya watu waliokimbia makazi yao. Mashambulizi ya anga katika siku za hivi karibuni yameleta msururu wa vifo vya Wapalestina katika Ukanda wa…

Read More

Niyonzima arejea Rayon Sport | Mwanaspoti

Kiungo mkongwe Haruna Niyonzima amerejea nchini kwao Rwanda baada ya kusaini mkataba na timu yake ya zamani ya Rayon Sport. Niyonzima, amesaini mkataba wa mwaka mmoja wenye kipengele cha kuongeza mwaka mwingine kuitumikia Rayon. Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Niyonzima kufanya kazi na Rayon, ambayo aliwahi kuitumikia msimu wa 2006-2007. Tayari Rayon, imeshamtambulisha…

Read More